Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,587
Wakuu.
Kabla hata sijasahau mvutano mkubwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, nimefikiria sana nikagundua uchaguzi ujao umekaribia sana, bado miaka 2.5 kipenga kipulizwe. Kisiasa ,muda huu ni mfupi sana kujipanga, unahitaji resources nyingi sana kukamilisha mchakato mzima.
Kwa nafasi ya Urais, kupanga safu nzima kuanzia ngazi ya Taifa mpk shina ni mchakato ambao ulitakiwa uwe unaendelea immediately baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Nchi ya Tanzania n kubwa sana, ina wasomi na wasiojua kusoma wengi sana.
Waliofanya vzr watavuna walichopanda. Na wale wenzangu wapiga dili, kukimbilia mijini kukimbia wananchi vijijini, wataipata. Kuna watakaotumia matukio mbalimbali kujisafisha kisiasa.
Km umewatumikia wananchi, utatoboa. Km ulijifanya mjuaji, tunakunyima kura. Hata ukiiba hazijai.
Kila la kheri.
Kabla hata sijasahau mvutano mkubwa katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, nimefikiria sana nikagundua uchaguzi ujao umekaribia sana, bado miaka 2.5 kipenga kipulizwe. Kisiasa ,muda huu ni mfupi sana kujipanga, unahitaji resources nyingi sana kukamilisha mchakato mzima.
Kwa nafasi ya Urais, kupanga safu nzima kuanzia ngazi ya Taifa mpk shina ni mchakato ambao ulitakiwa uwe unaendelea immediately baada ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Nchi ya Tanzania n kubwa sana, ina wasomi na wasiojua kusoma wengi sana.
Waliofanya vzr watavuna walichopanda. Na wale wenzangu wapiga dili, kukimbilia mijini kukimbia wananchi vijijini, wataipata. Kuna watakaotumia matukio mbalimbali kujisafisha kisiasa.
Km umewatumikia wananchi, utatoboa. Km ulijifanya mjuaji, tunakunyima kura. Hata ukiiba hazijai.
Kila la kheri.