Uchaguzi mdogo kesho taarifa...

Uchaguzi mdogo kesho taarifa...

mihadarati

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2013
Posts
268
Reaction score
74
Wanajamvini kesho ndo fainali tuliyokuwa tunaisubiri ya uchaguzi mdogo wa udiwani kwenye takribani Kata 26 nchini.

Tunaomba waliopo maeneo husika na wenye huduma ya internet tusiache kupeana update kwa upande wangu nipo kwenye gari naelekea Moshi ntawapa update kwenye uchaguzi Kata ya Kiborlon.

Mabadiliko kwenye hii nchi yataletwa na mimi,wewe na sisi sote.
 
Yale maeneo ambayo CCM ina hali ngumu yatatafutiwa sababu uchaguzi uvurugike
 
Nasikia mgombea wa ccm kata ya kiboroloni amejitoa chanzo chadema diaspora facebook page
 
Nasikia mgombea wa ccm kata ya kiboroloni amejitoa chanzo chadema diaspora facebook page

Hapana mgombea ccm hajajotoa na Naibu waziri wa tamisemi aggrey mwanri ndo anahutubia mkutano wa ccm hapa lucy kiborlon
 
Tunatarajia KUAHIRISHWA kwa uchaguzi kwenye kata zote ambazo MAGAMBA yanapumulia mashine kwa kisingizio cha KUKOSEKANA KWA USALAMA !
 
leo ametoa vitisho gani aisee ?

Kama kawaida yake leo amebwabwaja tu na kuendelea kisema kuwa ushindi kwa ccm lazima,lakini leo amekuwa kama amefungua kanisa na kunukuu vifungu vya biblia kuwahadaa wananchi
 
Kama kawaida yake leo amebwabwaja tu na kuendelea kisema kuwa ushindi kwa ccm lazima,lakini leo amekuwa kama amefungua kanisa na kunukuu vifungu vya biblia kuwahadaa wananchi

Hahahahahaha!!!amekuwa mchungaji ghafla!!!!anataka wananchi wamwonee huruma labda!!!!!wapi ndesa pesa kahitimishia wapi!!!???
 
Hahahahahaha!!!amekuwa mchungaji ghafla!!!!anataka wananchi wamwonee huruma labda!!!!!wapi ndesa pesa kahitimishia wapi!!!???

Ndesa amefungia kampeni kiboriloni sokoni,dogo janja mbunge wa Arumeru amefunika sana akamaliza kuhutubia akaenda arusha,Ndesa kasema kama ccm wanajivunia mgombea wao ni mzuri basi wammepeleke Mombasa.
 
Ndesa amefungia kampeni kiboriloni sokoni,dogo janja mbunge wa Arumeru amefunika sana akamaliza kuhutubia akaenda arusha,Ndesa kasema kama ccm wanajivunia mgombea wao ni mzuri basi wammepeleke Mombasa.

akaliwe kiboga.
 
ccm imeshakufa wamebakia hawa masalia chadema kesho kata 23 lazma ushindi

Mkutano wa ccm ambao wamefunga kampeni hadi aibu askari ndo walikuwa wamejazana zaidi kuliko raia yaan nimefanya kuhesab haraka2 n kama watu 30 ndo wamehudhuria.
 
Hivi ni kata ngapi hapo zilikuwa chini ya CCM na zipi za CHADEMA?
 
Mpaka Sasa CCM wamepoteza kiboroloni, mgombea wao kakubali yaishe
 
Ndesa amefungia kampeni kiboriloni sokoni,dogo janja mbunge wa Arumeru amefunika sana akamaliza kuhutubia akaenda arusha,Ndesa kasema kama ccm wanajivunia mgombea wao ni mzuri basi wammepeleke Mombasa.

Ccm wanamgombea mzuri !!! kazi IPO.
 
Mkutano wa ccm ambao wamefunga kampeni hadi aibu askari ndo walikuwa wamejazana zaidi kuliko raia yaan nimefanya kuhesab haraka2 n kama watu 30 ndo wamehudhuria.

Ungechukua picha ukatuwekea ingekua poa zaidi
 
Back
Top Bottom