Nikupateje
JF-Expert Member
- Dec 22, 2009
- 1,334
- 988
Haya sasa, thread zote kuhusu kushindwa Kafumu zihamie huku, maana zote zinamaanisha uchaguzi mdogo hivi karibuni.
it is better we focus on majority prosperityfundisho ni kwamba siku zote haki hainunuliwi kwa kuwapa watu kanga, misaada,na rushwa ila nguvu ya UMMA ni suluhisho tosha, hivyo demokrasia Tanzania inazidi kukomaa.