Niraisi atakae ondoa ukabila,nae sie mwingine raila,siasa za udini na ukabila sio nzuri na ndio maana raila hua anamnukuu nyerere mara kwa mara,kwani mzee nxerere alijenga msing wa Tanzania kwa umakini mkubwa kuliko kenyata na kenya yake,sasa mtoto wake ataweza kua na mbinu mbadala kusinda baba yake?raila ndio sumu ya ukabila kenya plz tumuombee kwa ndini zote hata kama hamna dini ombeni vivyo hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.