Uchaguzi Burundi: Kijulikanacho mpaka sasa

Uchaguzi Burundi: Kijulikanacho mpaka sasa

VERITE-NUE

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2019
Posts
1,481
Reaction score
1,450
*Zoezi la uchaguzi lililotarajiwa saa kumi na mbili asubuhi, kuna vituo limeanza saa kumi alfajili.

*Badhi ya maeneo, waliojitokeza kushiriki zoezi la kupiga kula, wamelalamikia vitendo vichafu vya IMBONERAKURE kwany’ang’anya kadi zao za kupiga kura, kwa lengo la kupigiwa kula na vijana hao wa chama tawala.

*Raia wanalazimiahwa kuchaguga CNDD-FDD, na katika maeneo kama Ruziba, Butaganzwa, Nyakagunda, Marangara, Kirundo, Nyamurenza, wapiga kula walisimamiwa na Polisi na Imbonerakure, kuhakikisha wanachagua wanavyotaka wao.

* Karurama (Cibitoke): waliokataa kutoa kadi zao, wamezuiliwa kuingia na kushiliki zowezi la upigaji kula.

*Kiyenzi (Kanyosha) raia wawili wametiwa mbaloni na Polisi, ambao ni wafuasi wa chama cha Burundi Bwa Bose. Inasemekana wamekataa kupiga kula mbele ya Imbonerakure, na kukamatwa kwa kosa la kuvuruga amani kwenye vituo vyao vya kupigia kula.
 
Africa na uchaguzi wapi na wapi?

In short,kwenye hizi nchi zetu za kishenzi zilizojaa ushenzi zinazoongozwa kishenzi na washenzi hao njaa njaa wanaoenda kupanga foleni wakiamini wanachagua viongozi wao na wenyewe akili hawana ni mambumbu tu
 
Wakina Martha Karua hawajafika huko kutetea Haki za Binadamu?
 
*Zoezi la uchaguzi lililotarajiwa saa kumi na mbili asubuhi, kuna vituo limeanza saa kumi alfajili.

*Badhi ya maeneo, waliojitokeza kushiriki zoezi la kupiga kula, wamelalamikia vitendo vichafu vya IMBONERAKURE kwany’ang’anya kadi zao za kupiga kura, kwa lengo la kupigiwa kula na vijana hao wa chama tawala.

*Raia wanalazimiahwa kuchaguga CNDD-FDD, na katika maeneo kama Ruziba, Butaganzwa, Nyakagunda, Marangara, Kirundo, Nyamurenza, wapiga kula walisimamiwa na Polisi na Imbonerakure, kuhakikisha wanachagua wanavyotaka wao.

* Karurama (Cibitoke): waliokataa kutoa kadi zao, wamezuiliwa kuingia na kushiliki zowezi la upigaji kula.

*Kiyenzi (Kanyosha) raia wawili wametiwa mbaloni na Polisi, ambao ni wafuasi wa chama cha Burundi Bwa Bose. Inasemekana wamekataa kupiga kula mbele ya Imbonerakure, na kukamatwa kwa kosa la kuvuruga amani kwenye vituo vyao vya kupigia kula.
Tanzania kwa sasa ni Burundi alioyekomaa
 
*Zoezi la uchaguzi lililotarajiwa saa kumi na mbili asubuhi, kuna vituo limeanza saa kumi alfajili.

*Badhi ya maeneo, waliojitokeza kushiriki zoezi la kupiga kula, wamelalamikia vitendo vichafu vya IMBONERAKURE kwany’ang’anya kadi zao za kupiga kura, kwa lengo la kupigiwa kula na vijana hao wa chama tawala.

*Raia wanalazimiahwa kuchaguga CNDD-FDD, na katika maeneo kama Ruziba, Butaganzwa, Nyakagunda, Marangara, Kirundo, Nyamurenza, wapiga kula walisimamiwa na Polisi na Imbonerakure, kuhakikisha wanachagua wanavyotaka wao.

* Karurama (Cibitoke): waliokataa kutoa kadi zao, wamezuiliwa kuingia na kushiliki zowezi la upigaji kula.

*Kiyenzi (Kanyosha) raia wawili wametiwa mbaloni na Polisi, ambao ni wafuasi wa chama cha Burundi Bwa Bose. Inasemekana wamekataa kupiga kula mbele ya Imbonerakure, na kukamatwa kwa kosa la kuvuruga amani kwenye vituo vyao vya kupigia kula.
Hayatuhusu.
 
Back
Top Bottom