Uchaguzi Arumeru Vs Ufunguaji vyuo vikuu

Sikulazimishi kuiamini, take it or leave it! Hapo kwenye nyekundu, unawasemea kina nani wengine waliokutuma????


Hiyo habari ya wanafunzi wa UD waendelee kusubiri home umeipata wapi? Wakati tumepangiwa vipindi tayari na jumatatu tunaanza kufundisha. Anyway me si sehemu ya management lakini sijazisikia ngoja tusubiri tuone.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…