nashy JF-Expert Member Joined Jan 13, 2011 Posts 679 Reaction score 141 Feb 25, 2012 #41 Mwana Mpotevu said: Sikulazimishi kuiamini, take it or leave it! Hapo kwenye nyekundu, unawasemea kina nani wengine waliokutuma???? Click to expand... Hiyo habari ya wanafunzi wa UD waendelee kusubiri home umeipata wapi? Wakati tumepangiwa vipindi tayari na jumatatu tunaanza kufundisha. Anyway me si sehemu ya management lakini sijazisikia ngoja tusubiri tuone.
Mwana Mpotevu said: Sikulazimishi kuiamini, take it or leave it! Hapo kwenye nyekundu, unawasemea kina nani wengine waliokutuma???? Click to expand... Hiyo habari ya wanafunzi wa UD waendelee kusubiri home umeipata wapi? Wakati tumepangiwa vipindi tayari na jumatatu tunaanza kufundisha. Anyway me si sehemu ya management lakini sijazisikia ngoja tusubiri tuone.