Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Unamaanisha CCM wameshashinda uchaguzi Arumeru kwa kutumia pesa za mikopo ya masomo ya vyuo vikuu? au sio?
Ha ha hili jimbo hawalipati hata kama wangetua hela za kununua sumu ya kuwalisha wanachama wao