Uchaguzi huu hauna maana. Ni kama kuna jambo linashinikizwa. Wananchi hawana nafasi tena ya kuamua mambo yao, nini maana na Uhuru sasa? Unachagua kipi dhidi ya kipi? Mshindani wako wa kweli yuko kando then what? Ingefanyika busara wale waliopita CMM wote wawe wabunge ili fedha za uchaguzi tuziallocate kwenye other expenditures kuliko kulazimisha changuzi hewa.