GE2025 Uchaguzi 2025 ni ufisadi mkubwa!!!

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,268
Reaction score
13,895
Uchaguzi 2025 ni ufisadi mkubwa!!! yaani uchaguzi ambao kwasasa kila mtanzania anajua hautakuwa wa huru na haki.

Wagombea wanazuiwa au kufungwa!!! halafu Tume ya CCM inagawa magari kwa wagombea Uraisi bure ! kama hongo pesa za walipa kodi wakati nchi yetu ni masikini kiasi hiki.

Imefika wakati tunatawaliwa na udikteta ambao hata haueleweki. Wenzetu nchi za udikteta hawapotezi muda kwenye maonyesho ya ajabu ajabu hivi.

Tupiganie uhuru na kuondokana na haya yote.
 
Zimeanza kuokotwa.. Ongeeni kwa tahadhari kubwa!
 

Attachments

  • 6181821-262b6b915dd528572ad22faa08e59835.mp4
    1.3 MB
Uchaguzi huu hauna maana. Ni kama kuna jambo linashinikizwa. Wananchi hawana nafasi tena ya kuamua mambo yao, nini maana na Uhuru sasa? Unachagua kipi dhidi ya kipi? Mshindani wako wa kweli yuko kando then what? Ingefanyika busara wale waliopita CMM wote wawe wabunge ili fedha za uchaguzi tuziallocate kwenye other expenditures kuliko kulazimisha changuzi hewa.
 
Ni utapeli tupu hakuna uchaguzi
 
Ni ufisadi na uhujumu uchumi
 
Wakati wa uchaguz we jikalie nyumbani tu

Ova
 
Khahahahhaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…