Los técnicos
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 3,010
- 2,604
Na huu ndiyo ukweli na tabia ya chama tawala inavyowafanya wananchi ni wapumbavuHuhitaji kumshawishi mbuzi akubali kupelekwa kula majani. anabuluzwa tu! Hata alale chini, peleka tu! Baadaye atagundua sababu ya kubuluzwa.
Tumpe kura ama umpe kura? Tangu lini umekua msemaji wa Watanzania?Safari alete style nyingine ya push up ili tumpe kura!
Hehehehhe mtakuwa mmetumwa na mashetanisi bure..kama wazungu ndivyo wanavyowadanganya mmebugi men..! Hatudanganyiki..tafuteni wimbo mpya..!
Wewe mwenyewe unaonekana ni tapeli.., na maisha yamekushinda
Hakuna hoja hapo ndiyo maana mi ccm itaendelea kushinda sababu wafuasi wa vyama vikuu wamekua kama misukule na wewe ukiwa msukule namba moja. Ongezeni kuwapigia kampeni mitandaoni wanasiasa wanaopigania matumbo yao.
Mbona mm sio mnufaikaji wa mfumo, kwa iyo kwa akili zako zoote ulotumia, mtu anaeendelea na life lake kama kawaida ni lazima awe mnufaikaji wa mfumo, haki nyumbu mna akili fupi sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
nikawaida yenu tumewazoea hamtupi shida chadema hata chembe, masikio yenu yanataka kusikia mnavyo vipenda tuHaya , kama na wewe ni msomi hivi vyuo vikuu bora vifungwe. Haaaaaa haaaaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi kama mwananchi nilitaka nisikie hoja na sio kejeli. Wapo tunaopenda kuwachagua wajenga hoja wazuri.Hakuna hoja hapo ndiyo maana mi ccm itaendelea kushinda sababu wafuasi wa vyama vikuu wamekua kama misukule na wewe ukiwa msukule namba moja. Ongezeni kuwapigia kampeni mitandaoni wanasiasa wanaopigania matumbo yao.
Tumpe kura ama umpe kura? Tangu lini umekua msemaji wa Watanzania?
Tunahitaji kiongozi jasiri anayejiamini na mwenye uwezo wa kujenga na kujibu hoja ndani na nje kimataifa, anayesimama kama yeye asiyekamilishwa kwa vyombo vya dola,mwenye vision plan na direction ya kutuvusha,anayefanya mambo kwa mpangilio sie mvurugaji,anaechangamana na Makundi yote wawekezaji,wafanyakazi, wafanyabiashara, wakulima, anaeuzika kimataifa, mwenye public speaking confidence anaeweza toa shule watu wakaa chini wakatikisa vichwa,mwenye kukubali kupokea mawazo mapya na sio statics, asiye katili,mwenye utu,utulivu wa akili,anaeweza kuvumilia ukinzani changamoto,Mchumi anaeujua uchumi,atakaefata utawala wa Sheria kwa mujibu wa katiba, asiye na double standard. Tza bado ina Hazina tele ya Watu kama debate na mchujo ukifanyika
Nchi hii bado ina wajinga na mataahira wengi , hasa haya yanayojiita CCM
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna hoja hapo ndiyo maana mi ccm itaendelea kushinda sababu wafuasi wa vyama vikuu wamekua kama misukule na wewe ukiwa msukule namba moja. Ongezeni kuwapigia kampeni mitandaoni wanasiasa wanaopigania matumbo yao.
'Fisadi' karudi anakoeleweka vizuri zaidi; aka 'nyumbani?hivi huko upinzani mna hoja gani inayowabeba mpaka sasa; hoja yenu kuu ya ufisadi mlishaiua na muasisi wake kawakimbia kwa sasa yuko upande mwingine.
CCM wanafanya nini majukwaani?Unazuia siasa kwa katiba ipi?kama unashindwa kuheshimu katiba unaweza kuheshimu hazina ukiwa umeweka watoto wa dada zako?Subirini wakati wa kampeni ukifika..wananchi hatuna muda wa siasa saizi..mmeshatuibia sana tumechoka...kama hamna kazi mjini nendeni mkatafute mashamba mlime
Kwa bahati mbaya sana watanzania tulio wengi ni wa sahaulifu sana. Mambo uliyoorodhesha hapo juu ni mambo ambayo hayatakiwi kusahaulika lakini nakuhakikishia kuwa hawa 'wanyonge' bado ni 'wadanganyika' sana na kwa udhaifu mkubwa ulioko kwa vyama vyetu vya upinzani, tutarajie upinzani mdogo na dhaifu sana dhidi ya magu na ccm yao!Sent using Jamii Forums mobile app
- Million 50 kila kijiji ziko wapi?.....
- Kurudi kwa kodi ya kichwa 20000 kwanini??
- Kumsafisha fisadi aliyemkataa na kusema mafisadi yamekimbilia upinzani?........
- Kumsafisha Rostam fisadi wa siku zote utawaambia nini watu 2020?.......
- Ajira ndio bomu hatari kwa serikali yake utawaambia nini wahitimu?.....
- Kutumia pesa za umma kuwanunua wapinzani utawaambia nini watu?.....
- Only fool can vote to Magufuli na atakuwa Rais wa wajinga akishinda ..........
Tuendelee kuwapa elimu, tusichoke mkuu!
RAIA wakipiga kura za kutosha ccm hawawezi kushinda wala kuchakachua.HV mfano chadema kapata kura milioni kumi ccm milioni 2 watachakachua nini.hakuna jeshi LA kuweza kugeuza matokeo.watu wasiogope wajitokeze kwa kishindo 2020.Habari zenu wana JF!
Mimi naomba wakereketwa na washabiki wa uongozi wa awamu ya tano watushawishi kwa hoja za msingi kwa nini Magufuli na CCM tuwape kura 2020!
Tunajuwa uwezo wa kujitangazia ushindi wanao, kwa kuwa wao ndiyo wafugaji haliali wa magobore!
Kwa upande wangu nawashawishi Watanzania tusiwachague hawa watu kwa sababu zifuatazo:
1. Uchumi: Hali ya maisha ya watu kifedha ni mbaya kuliko kawaida. Tujiulize tu kila mmoja tangu awamu ya tano ianze, simu unazopokea tu kwa siku, watu wakiomba kusaidiwa pesa zimeongezeka zaidi. Hii ni dalili kuwa hali ya watu kiuchumi siyo nzuri!
2. Biashara nyingi zimedorora au kufa kabisa. Ukipita katika miji mikuɓwa utakuta wachuuzi wamepanga bidhaa mpaka baraɓarani lakini bado wanalalamika kutopata wateja!
3. Wakulima nao hali ni mbaya kuliko kawaida. Mazao hayana wanunuzi na kama wapo yananunuliwa kwa bei ya chini ambayo wakulima hawapati faida bali ni hasara! Kama unabisha waulize wakulima wa korosho!
4. Wavuvi nao hawajaachwa salama! Tingatinga limefanyakazi ambayo si rahisi kusahaulika! Umasikini umewakuta kwa kasi ya dreamliner! Ukibisha waulize walishudia samaki wakipimwa kwa rula wakati taƴari wameshaƙuwa supu!
5. Usalama nalo ni jambo lingine linalonishawishi kutowachagua hawa watu. Siku hizi vibaka mtaani ni wengi sana! Ukipona viɓaka basi wewe utapambana na wasiojulikana.
6. Rushwa nayo imeongezeka badala ya kupungua. Utambiwa mara 1.5T hazijulikani zilipo, mara 2.4T hazionekani mara kuna shimo linaitwa 'vote 20' linameza pesa ɓila kutafuna!
7. Kodi nazo hazihesabiki na wala hazina mpangilio! Wakiamka tu hawa mabwana wakubwa kuwa wauza matembele nao tuwakamue, wanatengeneza vitambulisho visivyo na kichwa wala mkia na kuanza kuwatoza feɗha! Natamani waTz wote tuseme hapana inatosha!
8. Demokrasia na uhuru wa maoni navyo vipo kwenye ncha ya upanga. Ukitaka kuhoji matendo ya serikali inabidi uangalie aliye karibu yako kama unamfahamu au la. Tofauta na hapo utatembelewa na Wasiojulikana. Hofu ni kila mahali.
9. Tanzani ƴa Viwanɗa tuliyohubiriwa haionekani, kumbe uliƙuwa ni ulaghai mtupu! Wajenga viwanda wametokomea kusikojulikana! Tunasubiri viwanda ya umma vilivyomshinda Mwalimu!
10. Wahisani nao amewatibua, ambao walikuwa wanasaidia kwa kiwango kiwa katika maendeleo ya taifa katika nyanja mbalimbali mfano elimu, afƴa nk! Sasa wanawaita mabeberu eti sisi ni 'donor country'! Ngoja tusubiri kipigo cha mbwa mwizi!
11. Huduma za jamii nazo ni hoi! Maji, afya, elimu nk vyote bado ni duni
12. Ajira kwa vijana waliomaliza vyuo hakuna. Hivi ni kipi mtawaeleza WaTz wawaelewe na kuwaunga mkono!?
13. Mishara kwa watumishi wa umma haijaongezeka tangu muingie madarakani! Je huu ni uungwana kweli!?
14. Hata wana CCM wenzenu huku mashinani wanalalamika, vikao mnawaitisha hata soda hawapati! Hivi awamu ya tano faida yenu ni nini!
15. Sasa mvua nazo hazinyeshi sababu Mungu amechukizwa matendo yenu yasiyofaa ya kurudisha maendeleo ƴa watu na taifa nyuma!
16. Chuki na mgawanyiko miongoni mwa wananchi mmeuleta Srikali ya awamu ya tano! Mnasema yapelekwe kwenye madiwani na wabunge wa CCM na si maeneo yote! Ubaguzi ubaguzi!
Kwa haya machache nashawishika kusema, JPM na genge lake si wa kupigiwa kura wajipange kujitangaza kwa nguvu!
Kiboko cha maisha kitawachapa wakae sawa,wa mjini hakuna kuwatumia pesa wa vijijini