Katika uchaguzi huu, nafikiri dhoruba CCM mtakuwa mmeliona na naamini pona pona yenu ni kwa kubebwa na Magufuli kwa kiwango kikubwa na makosa ya kimchezo yaliyofanywa na upinzani.
Hivyo, CCM inawabidi muangalie mbali zaidi. Baada ya uchaguzi huu CCM na Magufuli kijengeni chama chenu upya inatakiwa recruitment mpya ya vijana wasomi, wazalendo, wenye hali na upeo mpana zaidi. Hii Recuitment mpya yawapasa kuwafanyiai watanzania wasomi vijana walio ndani na nje ya nchi. Sasa niwakati wakukusanya nguvu na akili za watanzania wote wenye uwezo mahala popote walipo.
Ningewashauri mfanye hivi:
Baada ya uchaguzi, msikimbilie kuunda serikali, badala yake toeni matangazo muitishe CV na wafanyieni interview, physically ama kwa skype watanzania wote wazalendo wa ndani na wa nje. Na ili mtakapoanza kuteue watu katika nafasi mbali mbali, muwateue kwa vigezo halisi. Mkifanya hivi naamini na nafikiri mtarudisha imani kwa wananchi na vijana wasomi na wenye taifa hili.
Hivyo, CCM inawabidi muangalie mbali zaidi. Baada ya uchaguzi huu CCM na Magufuli kijengeni chama chenu upya inatakiwa recruitment mpya ya vijana wasomi, wazalendo, wenye hali na upeo mpana zaidi. Hii Recuitment mpya yawapasa kuwafanyiai watanzania wasomi vijana walio ndani na nje ya nchi. Sasa niwakati wakukusanya nguvu na akili za watanzania wote wenye uwezo mahala popote walipo.
Ningewashauri mfanye hivi:
Baada ya uchaguzi, msikimbilie kuunda serikali, badala yake toeni matangazo muitishe CV na wafanyieni interview, physically ama kwa skype watanzania wote wazalendo wa ndani na wa nje. Na ili mtakapoanza kuteue watu katika nafasi mbali mbali, muwateue kwa vigezo halisi. Mkifanya hivi naamini na nafikiri mtarudisha imani kwa wananchi na vijana wasomi na wenye taifa hili.