habari wanajamii....
nauza ubuyu Wa Zanzibar, 1000 kwa packet Moja. nipo dar... kwa mawasiliano piga 0685091891. tupo tayari kukusikiliza na kukuhudumia mteja wetu... karibuni sana.
Akiweza kufanya packaging nzuri anaweza kupenya kwenye soko la nje.Tatizo urasim wa Vibali ndio issue.Safi sana.
Tena nakushauri, nje ya Tanzania una soko zuri sana, anza kusafirisha kwenda Kenya na Burundi kisha hamia Dubai, UK, India na USA.
Soko lake kubwa sana.
Akiweza kufanya packaging nzuri anaweza kupenya kwenye soko la nje.Tatizo urasim wa Vibali ndio issue.
Cc Heaven on Earth na wengine