Ubusy katika Mapezi

Ubusy katika Mapezi

Wataalamu wanasema kuwa, nguzo ya kwanza ya malavidavi ni mawasiliano.Ukiona mpenzi cku mbili zinakata hata salamu hakuna jua penzi linapwaya.Wherever love exists communication is taking over.Nisiwakatishe tamaa ila wanasema ukitaka kum- mwaga mupenzi unatakiwa ufanye mazoezi ya kupunguza mawasiliano kidogo kidogo,Mwisho unapotea moja kwa moja.ANGALIZO: Usibadili namba ya cmu utajenga uhasama.MTOA MADA NINA MASHAKA UMEPIGWA KIBUTI.
 
hivi kumbe ni binti huyu...???

basi sredi klozidi...wapo wanaomsaidia huko kutuliza kibaridi cha Uluguru...

hahahahahaaha nmemjaji kupitia hiyo username yake SABRA...
 
hahahahahaaha nmemjaji kupitia hiyo username yake SABRA...

Sikuwa nimefikiria jinsia yake kabla...hata baada ya kusoma jinale!!!

Btw mzima wewe, umepotea kiasi...
 
Sikuwa nimefikiria jinsia yake kabla...hata baada ya kusoma jinale!!!

Btw mzima wewe, umepotea kiasi...

nipo ndugu tumajukumu tunanikabaaa koo ndomana samtime napoteaa...za uliko kwa wakati huuuuu????
 
Ukiona manyoyaa.....ujue?pambaf unaona manyoya unasema kuku anaoga?mfyuuuu wajinga ndio waliao
 
nipo ndugu tumajukumu tunanikabaaa koo ndomana samtime napoteaa...za uliko kwa wakati huuuuu????

Huku ni njema tu na pole na majukumu yaliyokukinza hivyo...yakikukaba sana fanya fanya mpango wengine tutoe msaada atiii
 
Huku ni njema tu na pole na majukumu yaliyokukinza hivyo...yakikukaba sana fanya fanya mpango wengine tutoe msaada atiii

santeeeeeeeeeeeeee .......aseeeeeee kweli kabisa fanya ukuje huku saidia mimi kazi banah
 
santeeeeeeeeeeeeee .......aseeeeeee kweli kabisa fanya ukuje huku saidia mimi kazi banah

Hahahah haya mpendwa we nipe ramani tu miye takuja chap chap kukupa tafu eenh
 
Habari wana jf.iv jaman
ubusy katka masomo unaweza kusababsha usimpgie simu umpendae
mwez?tuseme mwenzetu vocha uweki? Na mahusiano kuvunjwa utaki.je, jaman
huku si ndo kuanza kumulka mwiz?Ebu mnisaidie especially wale wanaosoma
SUA may b wapo busy kushnda vyuo vngne.

anakudanganya mtu hawezi kuwa bize kiasi icho kwa choon nani anaenda kwa niaba yako?
 
Back
Top Bottom