Sabra said
Member
- Jun 28, 2014
- 49
- 9
Habari wana jf.iv jaman ubusy katka masomo unaweza kusababsha usimpgie simu umpendae mwez?tuseme mwenzetu vocha uweki? Na mahusiano kuvunjwa utaki.je, jaman huku si ndo kuanza kumulka mwiz?Ebu mnisaidie especially wale wanaosoma SUA may b wapo busy kushnda vyuo vngne.