Ubungo Darajani (riverside) kuna vurugu

Ubungo Darajani (riverside) kuna vurugu

Umeandika ukiwa na utimamu wa akili? Mtu akiingia na petrol humo ni mjanja? Taifa lina viazi sana hili au stress zimekuzidi lakini ukiandika kitu fikiri kidogo mkuu.
Fuatilia maisha Yako mama!
 
Hivi kale ka soko ka jioni pembeni ya fensi hapo bado kapo??

Kilikuwa kijiwe changu hichi cha kuchukua mazaga zaga mida ya jioni enzi hizo napiga shato pori toka kampasi kuelekea hostel Mabibo.
Mkuu hakipo tena mimi mwenyewe lilikua chimbo la kuchukua matunda na viungo viungo, sasa hivi ni hadi mawasiliano.
 
Mpwa, tusichoke kutoa somo la uzalendo kwa vijana. Yeye hajui alichokiandika kinaweza kusababisha maafa makubwa kwa taifa.

Kwa lugha za kiungwana tunaweza kusema ameropoka.....au ameharishia mdomoni....
 
Hakuna Mjanja aingie na Petrol kwenye Mitambo ya Songas!
Ndugu, umejaribu Ku "incite a terrorist act" ambayo potentially ingeweza kupoteza mali na uhai Wa watu wengi sana! Unalolote la kujitetea kabla cybercrime haijakushughulikia?
 
Kuna ndugu zetu wengi sana maeneo hayo jamani thao wahuni wadhibitiwe hao ni wezi tu
 
Ndugu, umejaribu Ku "incite a terrorist act" ambayo potentially ingeweza kupoteza mali na uhai Wa watu wengi sana! Unalolote la kujitetea kabla cybercrime haijakushughulikia?

Huyu anatakiwa awekwe mikononi haraka sana na vyomba vya usalama...bila ya kupoteza muda....kuna uwezekano mkubwa huyu bwana mdogo akawa ni miongoni mwa wale wa kule mafichoni Tanga.......nasisitiza tena kwa vyombo vya usalama wa wananchi wa ubungo na taifa kwa ujumla.....huwezi kuwa binaadamu wa kawaida na ukatoa kauli kama ile zaidi ya kuwa GAIDI TU.....
 
Hopeful waliwatangazia watu kabla ya kuanza piga mabomu maana bila hivo watoto, wagonjwa na kina mama wanakuwa wahanga wakati sio wahusika.....
 
Mpwa wewe hujui kuwa machizi wanaachwa mitaani na milembe wanapelekwa wazima.....sasa mtu mwenye utimamu wa akili unaanzaje kutoa maneno kama hayo....??
Wewe waliompa mimba mkeo na mimi nani? Chizi unafikiri Sikufahamu japo unatumia ID nyingine na Picha ya Malcom X? wachunguze watoto wako vizuri.
 
Back
Top Bottom