hiki ni kituo kikubwa sana cha mabasi yaendayo mikoani na hata nje ya nchi ya nchi yetu.
Na kwa utaratibu ulivyo, mabasi huweza kuingia hata usiku wa manane. Na ukifika pale usiku utashaangaa, kituo ni giza sana, kitu ambacho kinaweza kusababisha vitendo vya wizi wa mizigo na au hata ukabaji ndani ya stand yenyewe. Ninaamini kuwa kuna watu wanasimamia kituo kile, je ni kweli kwamba wameshindwa kudhibiti hali ya usalama wa abiria wake na mali zao hasa wanaofika pale usiku pamoja na wapoeaji wao kwa kuweka mataa(mwanga) wa kutosha?
ningeomba pia wasimamizi waboreshe sehemu za abiria kupumzikia hasa pale wanaposubiria kusafiri,au kupokelewa.Michango wanayokusanya pale getini inatosha kuboresha mazingira yote kwa ujumla wake
Na kwa utaratibu ulivyo, mabasi huweza kuingia hata usiku wa manane. Na ukifika pale usiku utashaangaa, kituo ni giza sana, kitu ambacho kinaweza kusababisha vitendo vya wizi wa mizigo na au hata ukabaji ndani ya stand yenyewe. Ninaamini kuwa kuna watu wanasimamia kituo kile, je ni kweli kwamba wameshindwa kudhibiti hali ya usalama wa abiria wake na mali zao hasa wanaofika pale usiku pamoja na wapoeaji wao kwa kuweka mataa(mwanga) wa kutosha?
ningeomba pia wasimamizi waboreshe sehemu za abiria kupumzikia hasa pale wanaposubiria kusafiri,au kupokelewa.Michango wanayokusanya pale getini inatosha kuboresha mazingira yote kwa ujumla wake