Mi naungana na mh Kimiti,yuko sahihi coz hatuhitaji umri wa mtu,jinsia ama ukubwa wa elimu yake.Tunahitaji mtu mwenye uchungu na nchi hii,mzalendo wa kweli,mwenye busara,mwenye nia ya dhati ya kutumikia watanzania,mwenye uwezo wa kuwaunganisha wananchi ktk kujiletea maendeleo!pia asiwe mnafiki,ila awe jasiri.