Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Hakuna kitu kinachoitwa uelewa, Nec ipo chini ya magu na itafanya kile nachokitaka Magu. Hukusiki Mbeya mkuu wa mkoa sijui wilaya aliomba kwa Rais kisa wlimtangaza mpinzani? Wqkati wao sio tumeUzuri K’Njaro watu wana uelewa na wanaweza kubadili chama chochote wako kama watu wa Uingereza au Marekani ndio maana wapo mstari wa mbele kwenye siasa za upinzani wakati watanzania wengine bado wanafikiri ccm ni jina jingine la Tanzania.
Malisa apewe support.. TunamuombeaNi wazi sasa mpambano ni kati ya wanasiasa hawa.
Kulikuwa na tetesi kwamba Joseph Selasini angekimbia Chadema kumkwepa kada mahiri wa Chadema,ndugu Malisa, na ndivyo ilivyotokea
Hatari iliyopo ni mgawanyiko wa kura za wapinzani, ambayo ndio kazi aliyopewa ndugu Joseph Selasini,ili "wote tukose"
Hali ya ndugu Selasini jimboni ni mbaya akituhumiwa usaliti na kutoleta maendeleo yoyote.
Muda si mrefu, kikosi mahiri cha vijana wa Bavicha watapiga kambi jimboni kusafisha mabaki ya ndugu Selasini.
Evariat silayo,huyu naona anaweza fit maana ana ushawish mkubwaKuna kijana si muda mtamuona mrombo makini
Hapa umemaliza mkuuMbunge wa Rombo lazima awe mkazi wa Rombo, na si vinginevyo. Malisa atafute jimbo jingine.
Ongeza Prof MkendaNi wazi sasa mpambano ni kati ya wanasiasa hawa.
Kulikuwa na tetesi kwamba Joseph Selasini angekimbia Chadema kumkwepa kada mahiri wa Chadema,ndugu Malisa, na ndivyo ilivyotokea
Hatari iliyopo ni mgawanyiko wa kura za wapinzani, ambayo ndio kazi aliyopewa ndugu Joseph Selasini,ili "wote tukose"
Hali ya ndugu Selasini jimboni ni mbaya akituhumiwa usaliti na kutoleta maendeleo yoyote.
Muda si mrefu, kikosi mahiri cha vijana wa Bavicha watapiga kambi jimboni kusafisha mabaki ya ndugu Selasini.
30 huyu-huyu ambaye ukimuondoa kwenye kundi sogozi / Watsup group anahama chama ndio apewe jimbo la Rombo tena!NEVERNi wazi sasa mpambano ni kati ya wanasiasa hawa.
Kulikuwa na tetesi kwamba Joseph Selasini angekimbia Chadema kumkwepa kada mahiri wa Chadema,ndugu Malisa, na ndivyo ilivyotokea
Hatari iliyopo ni mgawanyiko wa kura za wapinzani, ambayo ndio kazi aliyopewa ndugu Joseph Selasini,ili "wote tukose"
Hali ya ndugu Selasini jimboni ni mbaya akituhumiwa usaliti na kutoleta maendeleo yoyote.
Muda si mrefu, kikosi mahiri cha vijana wa Bavicha watapiga kambi jimboni kusafisha mabaki ya ndugu Selasini.
Ongeza Prof Mkenda
Wanadhani kule ni kama Kongwa, Mtera au Nkasi?Nyie mnafikiri siasa za Kilimanjaro ni kama za kwingineko? Watu hawadanganyiki kirahisi na ccm kama kwingine na watu kule wanabadilisha vyama watakavyo.
Ashajipanga kuingia katika kura za maoni za CCMHuyu huenda akagombea kwa tiketi ya CCM
Selasini kesha kula vipande 30 vya pesa. Vitamtokea puani. Ata pata kura yake na mkewe. Warombo tuna jifahamu...Ni wazi sasa mpambano ni kati ya wanasiasa hawa.
Kulikuwa na tetesi kwamba Joseph Selasini angekimbia Chadema kumkwepa kada mahiri wa Chadema,ndugu Malisa, na ndivyo ilivyotokea
Hatari iliyopo ni mgawanyiko wa kura za wapinzani, ambayo ndio kazi aliyopewa ndugu Joseph Selasini,ili "wote tukose"
Hali ya ndugu Selasini jimboni ni mbaya akituhumiwa usaliti na kutoleta maendeleo yoyote.
Muda si mrefu, kikosi mahiri cha vijana wa Bavicha watapiga kambi jimboni kusafisha mabaki ya ndugu Selasini.
Upinzani hawawez kukuelewaHakuna kitu kinachoitwa uelewa, Nec ipo chini ya magu na itafanya kile nachokitaka Magu. Hukusiki Mbeya mkuu wa mkoa sijui wilaya aliomba kwa Rais kisa wlimtangaza mpinzani? Wqkati wao sio tume
Hapo CCM anajiachia mlima kitonga.Anapiga free gear wakati warombo wanapiga mswaki asubuhi wakifika kituoni wanakuta matokeo tyr yashabandikwa.Mmamaee.
Kumfananisha Selasini na Malisa ni Sawa na Kufananisha Kitambi na Mimba.Ni wazi sasa mpambano ni kati ya wanasiasa hawa.
Kulikuwa na tetesi kwamba Joseph Selasini angekimbia Chadema kumkwepa kada mahiri wa Chadema,ndugu Malisa, na ndivyo ilivyotokea
Hatari iliyopo ni mgawanyiko wa kura za wapinzani, ambayo ndio kazi aliyopewa ndugu Joseph Selasini,ili "wote tukose"
Hali ya ndugu Selasini jimboni ni mbaya akituhumiwa usaliti na kutoleta maendeleo yoyote.
Muda si mrefu, kikosi mahiri cha vijana wa Bavicha watapiga kambi jimboni kusafisha mabaki ya ndugu Selasini.
CCM saa Nne tu inatangazwa Mshindi
Kila la kheri bwana Malisa. Ni wakati muafaka wa kuibua damu changa kwenye ardhi hiyo. Selasini sio relevant tena kwenye siasa za upinzaniUzuri K’Njaro watu wana uelewa na wanaweza kubadili chama chochote wako kama watu wa Uingereza au Marekani ndio maana wapo mstari wa mbele kwenye siasa za upinzani wakati watanzania wengine bado wanafikiri ccm ni jina jingine la Tanzania.
Ameonyesha udhaifu sana na ameaibisha Warombo wote.Noma sana!