Hii ni kweli tangu 1995 Moshi haijawahi kumilikiwa na chama, ila wanaangalia upepo, ila mbunge atakayekumbukwa kwa sana ni Cyril Chami tu, alifanya mengi sana ya kukumbukwa ila alishindwa 2015 sababu ya vijana walitaka mabadiliko bila kujali uzuri wa mbunge anaetoka ccm