Kuna malalamiko ya hapa na pale ambayo anaweza kuyarekebisha ,kwamba ofisi anafunga muda mrefu na kubandika karatasi nje eti yuko nje kikazi,mtu wa kumsaidia mbunge ni msanii mwenziwe na muda mwingi ofisi inafungwa,na bungeni eti anaongea usaniii tuu hatetei watu wa mbeya ,halafu la yeye kuachia chama mkoa kukijenga yeye akiwa nje zaidi ya mkoa, akitafuta credit za kisiasa kwa viongozi, nadhani akitulia haya mambo yanaweza kunyooshwa tu na yeye mwenyewe bado upepo upo kwake lakini japo manung'uniko yanakwenda kwa kasi ya moto wa upepo