mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 12,168
- 8,936
Ndugu ni kama unapoteza tu muda wako na busara zako kuwaelimisha hawa malofa,uwezo wao ni kama wale wanaopita Serengeti na kuvuka mto Mara kwenda KenyaKatiba hii Dar esa salaam inaongozwa na ukawa, katiba hii hii Kilimanjaro mkoa mzma kasoro majimbo mawili yameenda ukawa katiba hii leo mmeongeza wabunge, inkuwaje haina haja CCM kushinda ubunge jimbo moja hilo