Jamani sijui tu NBC inapitia masahibu gani, inaskitisha kwa kweli. Na tatizo kubwa ni wafanyakazi wake. Yani hawana habari na wateja kabisaaa. Hata ulalamike vipi unadharaulika tu. Hiyo ya Arusha ni majanga kwa kweli, yashanikuta mengi hapo. Ukiingia usahau habari ya muda. Unaweza kumpasua mtu kwa hasira. Na manager wao huwa yupo. Sijui huwa haoni! Headquarters ya hii bank ifanyie kazi haya malalamiko ya wateja. It's just too much