Hii bank sijui inaelekea wapi kwani huduma zake ni mbovu mbovu kabisa kuliko bank yoyote ile niliyowahi kwenda katika nchi hii ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Nilichoshuhudia pale dawati la huduma kwa wateja customer care hakuna huduma bali ni kero kwa wateja. Please badilikeni tafadhali sana, imagine mtu anakuja kutaka huduma au ufafanuzi wa jambo ambalo kwa kawaida haliwezi chukua hata five minutes unawekwa pale for about 5 hours.
Hii bank sijui ipo serikalini au binafsi, please management ya NBC BANK ARUSHA na makao makuu tupieni jicho NBC makao makuu Arusha.
Wafanyakazi kazi kujizungusha, sijui ni umri umewatupa mkono au!!
JIREKEBISHENI mteja ni mfalme hela zangu zina bank charges nawe ndio unalipwa kupitia kwangu na mikopo mnayotoa kwetu.
Nilichoshuhudia pale dawati la huduma kwa wateja customer care hakuna huduma bali ni kero kwa wateja. Please badilikeni tafadhali sana, imagine mtu anakuja kutaka huduma au ufafanuzi wa jambo ambalo kwa kawaida haliwezi chukua hata five minutes unawekwa pale for about 5 hours.
Hii bank sijui ipo serikalini au binafsi, please management ya NBC BANK ARUSHA na makao makuu tupieni jicho NBC makao makuu Arusha.
Wafanyakazi kazi kujizungusha, sijui ni umri umewatupa mkono au!!
JIREKEBISHENI mteja ni mfalme hela zangu zina bank charges nawe ndio unalipwa kupitia kwangu na mikopo mnayotoa kwetu.