Ubora wa Doogee na Ulephone

Ubora wa Doogee na Ulephone

KingPower

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2015
Posts
1,143
Reaction score
1,886
Wakuu habar za wakati! Natumia ni wazima wa afya.
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza natamani kujua ubora wa izo smart phone.

Mfano DOOGEE N20 kwa specifications zake na bei yake iko very cheap.?

Natamani kujua izi simu mfano karikoo zipo au mpaka uagize ali Express?

Kwa mlio bahatika kununua vip ubora wake?
Specifications
RAM 4GB
ROM 64GB
BATTERY 4500mAh
CAMERA 16 MP.
kwa around Tsh 230,000/=

Swali la kizushi Doogee na Tecno bora nani?

Karibu kwa mchango
 
Hizi kumbe ni aina za simu, kweli uzee umeniingia sikuelewa chochote mpaka nilivyo fungua uzi.
 
Hio dogee ni nzuri kwa sababau hata resolution ya kioo ni nzuri pamona na cpu yake mtk 6763 ambayo sijaona kwenye tecno wakitumia.
 
Wakuu habar za wakati! Natumia ni wazima wa afya.
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza natamani kujua ubora wa izo smart phone.

Mfano DOOGEE N20 kwa specifications zake na bei yake iko very cheap.?

Natamani kujua izi simu mfano karikoo zipo au mpaka uagize ali Express?

Kwa mlio bahatika kununua vip ubora wake?
Specifications
RAM 4GB
ROM 64GB
BATTERY 4500mAh
CAMERA 16 MP.
kwa around Tsh 230,000/=

Swali la kizushi Doogee na Tecno bora nani?

Karibu kwa mchango
Hawana issue mkuu na ukubwa wa storage na ram hauna maana yoyote bila kujua aina ya hio storage na ram, hizi kampuni zinaangalia wateja wanaangalia nini kisha wanaongeza quantity kama wingi wa core ram na storage na vile vitu watu wasivyoangalia kama vile nguvu ya hio core, uwezo wa graphics, ram za kisasa, storage zenye bandwidth etc hawaviweki kama inavyotakikana.

Wapo wachina wazuri tu toka Xiaomi, realme, oppo, vivo, Honor (huawei), Nubia(zte) etc simu zao nyingi zinakuwa nzuri.

Na ni ndugu mmoja hao na Tecno.
 
Shukrani mkuu
Ila izo simu kama Xiaomi, Oppo ect ni Jamaa moja na Tecno?

Mbona China wenyewe hawaitambu Tecno?
Mfano nenda AliExpress.! Huwezi kuipata
Labda kwa maana wote wanatumia Mediatek chips


Mkuu nataka kuagiza Xiaom redmi 9C
Kwa around Tsh 222,000/=

Specifications
RAM 2GB helio family G35 clock speed 2.3GHZ
ROM 32GB
BATTERY 5000mAh
Rear camera 13 mp, 5mp, 2mp.
Front 5mp
Bluetooth 5.0
OS : 10 with MIUI 12

naomba kujua kuhusu MIUI 12.

Chief-Mkwawa

Is it worth?
Hawana issue mkuu na ukubwa wa storage na ram hauna maana yoyote bila kujua aina ya hio storage na ram, hizi kampuni zinaangalia wateja wanaangalia nini kisha wanaongeza quantity kama wingi wa core ram na storage na vile vitu watu wasivyoangalia kama vile nguvu ya hio core, uwezo wa graphics, ram za kisasa, storage zenye bandwidth etc hawaviweki kama inavyotakikana.

Wapo wachina wazuri tu toka Xiaomi, realme, oppo, vivo, Honor (huawei), Nubia(zte) etc simu zao nyingi zinakuwa nzuri.

Na ni ndugu mmoja hao na Tecno.
 
Shukrani mkuu
Ila izo simu kama Xiaomi, Oppo ect ni Jamaa moja na Tecno?

Mbona China wenyewe hawaitambu Tecno?
Mfano nenda AliExpress.! Huwezi kuipata
Labda kwa maana wote wanatumia Mediatek chips


Mkuu nataka kuagiza Xiaom redmi 9C
Kwa around Tsh 222,000/=

Specifications
RAM 2GB helio family G35 clock speed 2.3GHZ
ROM 32GB
BATTERY 5000mAh
Rear camera 13 mp, 5mp, 2mp.
Front 5mp
Bluetooth 5.0
OS : 10 with MIUI 12

naomba kujua kuhusu MIUI 12.

Chief-Mkwawa

Is it worth?
Hao kina Xiaomi niliowataja sio jamii moja na Tecno wao quality zao zipo juu zaidi.

9c sio mbaya kwa hio bei ila ukiongeza kidogo unapata redmi 9 ambayo ni nzuri zaidi.

Na sio lazima kununulia Aliexpress, kenya zipo za kutosha.

Na miui ni muonekano tu Android, kama vile ambavyo Samsung ana One ui, Tecno na kina infinix wana Hios, Huawei Emui etc, hautaathiri matumizi ya kawaida ya Android.
 
Hao kina Xiaomi niliowataja sio jamii moja na Tecno wao quality zao zipo juu zaidi.

9c sio mbaya kwa hio bei ila ukiongeza kidogo unapata redmi 9 ambayo ni nzuri zaidi.

Na sio lazima kununulia Aliexpress, kenya zipo za kutosha.

Na miui ni muonekano tu Android, kama vile ambavyo Samsung ana One ui, Tecno na kina infinix wana Hios, Huawei Emui etc, hautaathiri matumizi ya kawaida ya Android.
Kenya unaweza kuniunganisha niagize?
 
Hao kina Xiaomi niliowataja sio jamii moja na Tecno wao quality zao zipo juu zaidi.

9c sio mbaya kwa hio bei ila ukiongeza kidogo unapata redmi 9 ambayo ni nzuri zaidi.

Na sio lazima kununulia Aliexpress, kenya zipo za kutosha.

Na miui ni muonekano tu Android, kama vile ambavyo Samsung ana One ui, Tecno na kina infinix wana Hios, Huawei Emui etc, hautaathiri matumizi ya kawaida ya Android.
 
Niliwahi nunua doogee x5max ilikuwa 2016. Niliikubali ilikuwa poa tu kwa upande wangu. Mpaka nikataka kununua simu yao model nyingine baadae. Sema sikuzipata tena kariakoo. Ila alliexpress zipo nyingi bei cheap na spacification nzuri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom