KingPower
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 1,143
- 1,886
Wakuu habar za wakati! Natumia ni wazima wa afya.
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza natamani kujua ubora wa izo smart phone.
Mfano DOOGEE N20 kwa specifications zake na bei yake iko very cheap.?
Natamani kujua izi simu mfano karikoo zipo au mpaka uagize ali Express?
Kwa mlio bahatika kununua vip ubora wake?
Specifications
RAM 4GB
ROM 64GB
BATTERY 4500mAh
CAMERA 16 MP.
kwa around Tsh 230,000/=
Swali la kizushi Doogee na Tecno bora nani?
Karibu kwa mchango
Kama kichwa cha habari kinavo jieleza natamani kujua ubora wa izo smart phone.
Mfano DOOGEE N20 kwa specifications zake na bei yake iko very cheap.?
Natamani kujua izi simu mfano karikoo zipo au mpaka uagize ali Express?
Kwa mlio bahatika kununua vip ubora wake?
Specifications
RAM 4GB
ROM 64GB
BATTERY 4500mAh
CAMERA 16 MP.
kwa around Tsh 230,000/=
Swali la kizushi Doogee na Tecno bora nani?
Karibu kwa mchango

