Umewahi kuchajiwa 1000 uber mkuu??...Mimi natumiaga Uber but sijawahi kuona hiko kitu tena huwa nakuwa na trip fupi fupi nying...Nakumbuka kiasi kidogo nilicho wahi kulipa kwa Uber ni 6500 kutoka Pale Azam Tv tabat ToT cjui ndio kituo kinaitwa hivyo mpaka Tabat Kimanga.
Pakua app ya Uber kutoka playstore ingiza promocode ya TZABA05 na utasafiri bure hadi umbali unaogharimu tsh 6200 kwa mara ya kwanza. Usipoelewa niPM nitakuelekeza zaidi