Majanga kweli Bongo ni Mengi, maelezo yako yana mkanganyiko,unaitaji uber mwenye No akupe uipige,alafu tena unadai huna simu umeibiwa , sasa unampigia kwa namna gani na je hapo ulipo kama una Access mpaka umeweza ingia jamii forum inamaanisha una simu nzuri tu,sasa mimi najiuliza maswali mengi hata jibu sipati nini dhumuni lako