kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,412
- 7,194
Licha ya kua raia wa kipato cha kawaida tu kuna watu watoto zao hawapewi mikopo ya elimu ya juu kosa lao eti kusoma shule za binafsi.
Inatia uchungu kuona hao hao baraza la mikopo elimu ya juu kuweza kutoa mikopo kwa wanafunzi wasio watanzania. Inaonyesha baraza hilo jinsi walivyo na upendeleo au uzembe. Unakuta mtu bila kutumia uongo na hila au kutoa rushwa hawezi pata mkopo.
Hivi majuzi kumekua na wanyarwanda wamekamatwa kwa kupewa mkopo wa elimu jambo ambalo hawastahili. Sio hao tu kumekua na wageni wengi toka nchi jirani kama vile burundi rwanda kenya uganda na hata malawi wamekua wanasoma kwa mikopo tanzania na kisha kutokomea kwao bila kulipa hata senti moja ya mikopo hiyo.
Katika awamu hii bila shaka mengi ya nyuma yatajulikana kutokana udhibiti kuimarika katika mikopo ya elimu ya juu.
Inatia uchungu kuona hao hao baraza la mikopo elimu ya juu kuweza kutoa mikopo kwa wanafunzi wasio watanzania. Inaonyesha baraza hilo jinsi walivyo na upendeleo au uzembe. Unakuta mtu bila kutumia uongo na hila au kutoa rushwa hawezi pata mkopo.
Hivi majuzi kumekua na wanyarwanda wamekamatwa kwa kupewa mkopo wa elimu jambo ambalo hawastahili. Sio hao tu kumekua na wageni wengi toka nchi jirani kama vile burundi rwanda kenya uganda na hata malawi wamekua wanasoma kwa mikopo tanzania na kisha kutokomea kwao bila kulipa hata senti moja ya mikopo hiyo.
Katika awamu hii bila shaka mengi ya nyuma yatajulikana kutokana udhibiti kuimarika katika mikopo ya elimu ya juu.