Ubalozi wa tanzania sweden

Ubalozi wa tanzania sweden

Binti Magufuli

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2011
Posts
7,479
Reaction score
5,160
Wakuu salamu za heri ziwafikie. Kwa walioko Stockholm ninaomba maelekezo/ramani ya namna ya kufika ubalozi wa Tanzania. Rafiki yangu ameomba Msaada kwani Hana uzoefu na mambo ya ramani. Kila nikigoogle vitu vinakwama .
Natanguliza shukrani.
 
Cheki hapo ataweza kufika....ipo mahali panaitwa Nasby ale...ni mwisho wa kituo cha train...ataiona upande wa kushoto kwake
 
Cheki hapo ataweza kufika....ipo mahali panaitwa Nasby ale...ni mwisho wa kituo cha train...ataiona upande wa kushoto kwake

Asante ...hiyo Näsby niliiona ila nilichanganya kodogo. Barikiwa
 
Back
Top Bottom