Triplets
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 1,146
- 202
Duh sasa mm nilikuwa natoa 70,000/= kwa wiki huduma ya nywele bado naambiwa bahili unaichukuliaje hili? Maana nilikuwa najinyima kunywa Safari nikawa nakunywa Bingwa ili kumfurahisha yeye lakini nimeambulia patupu.
siku nyingine upige mahesabu Fidel...fikiria kila mama angehitaji hizo kila wiki wale wenye mishahara ya laki nne kwa mwezi wange ishije?
70 000 kwa wiki anafanya plastic surgery au ni hizi hizi saluni za kawaida?