Ubaguzi wa CCM Zanzibar

Jan 1, 2016
80
12
Hakika Dunia inapaswa sasa iamini kuwa kumbe kitendo cha CCM kugomea matokeo ya uchaguzi Zanzibar in UBAGUZI.Na sio dosari za kiuchaguzi.CCM Jana kwenye sherehe za Mapinduzi wanachama Wa CCM wakiwa kwenye sare za chama chao huku wakiwa mabango yaliyoandikwa maneno ya kibaguzi walipita mbele ya Rais wa Zanzibar Na Rais Wa Jamhuri huku bango hill likiwa juu.CCM imefika pabaya sana.
 
Hakika Dunia inapaswa sasa iamini kuwa kumbe kitendo cha CCM kugomea matokeo ya uchaguzi Zanzibar in UBAGUZI.Na sio dosari za kiuchaguzi.CCM Jana kwenye sherehe za Mapinduzi wanachama Wa CCM wakiwa kwenye sare za chama chao huku wakiwa mabango yaliyoandikwa maneno ya kibaguzi walipita mbele ya Rais wa Zanzibar Na Rais Wa Jamhuri huku bango hill likiwa juu.CCM imefika pabaya sana.

Ndugu yangu Kipaumbele,
Huo ulosema ndiyo ukweli wenyewe.

Hebu sikiliza hii:
Kumbukumbu ya Mapinduzi Zanzibar Azam TV 2016 | Mohamed Said
 
Ila imefika hatua tunabaguana wenyewe Kwa wenyewe hii inabidi iyangaliwe Kwa makin sana la sivyo
 
Ila imefika hatua tunabaguana wenyewe Kwa wenyewe hii inabidi iyangaliwe Kwa makin sana la sivyo


Yuko wapi Jaji Mutungi msajili wa vyama vya siasa? Hivi yale majigambo yake ya kutenda haki yameishia wapi? Kwa ubaguzi huu basi Chama Cha CCM kiilipaswa kufutiwa Usajili!
 
Back
Top Bottom