Bapo bana soma banyuzi betu huku banasikiliza LoketoKumbe humu kuna hadi bamutu bakongo
NdioNaomba kufahamu, huko Kinshasa kuna bhatu banazungumza Kiswahili?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Dunia hii sasa ni wale wasio na aibu wala chembe ya utuTukutane 2024 alafu kusiwe uchaguzi ndo watajua kama tuna tafuta sababu ya kujikata na huu upumbavu wa kubagua watu
Jirani mbayaUtajiri wa nchi ya Congo sawa na nchi zote za Arabuni, lakini nchi hii sijui ina laana gani??.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]nmesoma Kama namsikiliza nyoshi El saadatUbaguzi unaofanywa na mutu ya congo ni mubaya Sana niwaombe muje Ta-nzania mujifunze vile Bantu ya Ta-nzania bana mapendo jaribu kuangalia bile watanzania banapendana vile vile mutu ya Ta-nzania ina mapendo sana na mutu ya congo hata raisi wa Ta-nzania mutu muzuri.