Hamumpendi tu bashite ila huwezi sema kuna ufisadi wakati structure haijajengwa. Unajuaje kama materials zitapishana. Subiri structure iishe ndio useme kuna ufusadiRais mwenyewe kashtukia deal. Mradi una exgerations. Kwanza wanamdanganya rais kuwa wanajenga ghorofa( siyo kweli)
Few years ago mradi ulikadiliwa kutekelezwa kwa 6bn, kwasada serikali ilikadilia 12.5bn, bashite amepitisha 14bn. Hata hivyo kuna similar projects zinatekelezwa pwani kwa fedha pungufu-------------'------- ngoja nasubiri ukweli utajulikana