100 others
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 10,236
- 36,606
- Thread starter
-
- #41
Sawa kuokoa kwa wakati mmoja wameshindwa, hadi kujua walipo wameshindwa, usibishe kiongozi wa Hamas kasema na vyanzo vya Israel vimesema askari waliokufa wanafika 3000.Bila chanzo hizi ni soga tu.
Kuokoa mateka 200+ kwa wakati mmoja haiwezi ikawa rahisi kama unavyojaribu kutuonyesha hapa.
Isitoshe hao Hamas sio jeshi kamili (conventional army) Ila wanamgambo tu wanaoweza kujichanganya na raia muda wowote wasitambulike.
Kingine Israel hajashindwa Vita ndio maana northern Gaza yote ipo mikononi mwao na kusitisha Vita ni kwa ajili ya mahitaji ya kibinadamu tu hasa kwa raia wa Gaza.
Alafu acha kushabikia Vita maana wanaokufa wengi wao ni watoto wadogo, wanawake na raia wa kawaida wasio na hatia.
Sasa hiyo vita anapigana na nani sasa au hao wanawake,watoto ,wagonjwa na wanafunzi maana hadi Leo Hamas wapo na wanawasiliana kuhusu mateka.Bila chanzo cha hii taarifa, hii ni mojawapo ya soga tu.
Kuokoa mateka 200+ kwa wakati mmoja haiwezi ikawa rahisi kama unavyojaribu kutuonyesha hapa.
Isitoshe hao Hamas sio jeshi kamili (conventional army) Ila wanamgambo tu wanaoweza kujichanganya na raia muda wowote wasitambulike.
Kingine Israel hajashindwa Vita ndio maana northern Gaza yote ipo mikononi mwao na kusitisha Vita ni kwa ajili ya mahitaji ya kibinadamu tu hasa kwa raia wa Gaza.
Alafu acha kushabikia Vita maana wanaokufa wengi wao ni watoto wadogo, wanawake na raia wa kawaida wasio na hatia.
Kakubali masharti yote ya HamasMmepata pause ya siku 4 tu mmeanza kelele,subiri mambo bado hakuna gaidi atabaki salama safari hii,unapomsema Israel tuambie wewe umefanya nini at least Israel umetaja alichokifanya kwenye six day war,nyie kama wapelastina mmefanya nini,mmeshindwa kuunda taifa miaka nenda rudi,tena mmegawanyika wenyewe kwa wenyewe mna Gaza strap mna west bank,mtaweza kushindana na Israel wenye serikali imara miaka nenda rudi?
Kuna jamaa nilimkuta anamuambia mwenzake eti mu Israel mmoja ni sawa na watu 100 ๐ , si ndio akili za hawa wa Israel wa jf.Ila hawa jamaa walijua kutupwaga,, mana ilifikia kipindi wengine tulijua Israel ukipiga bomu linadunda ๐,,
Manina zao hao hawa๐๐๐
Mungu yupi?Israeli ni Taifa La Mungu kama hutaki kumywa sumu
Ndan ya Gaza wavaa kanzu na vilemba ni wachache mno wengi wanavaa beli na jinziTech ya Iron dome haina chochote cha ajabu, upuuzi mtupu, kuna hivyo vi tank vya merkava ndio uchafu kabisa, sasa kundi la migambo wana kanzu na vilemba wanapiga merkava na iron dome, sasa kama unavyosema zikija nchi zenye nguvu kijeshi kama Iran si utapigwa ukimbie.
Isis walishindwa na Marekani kwa kushirikiana na wakurdi (YPG), sio hawa unaowataja hapa.ISIS si walikuwa wanavaa na kujicchanganya na raia, wakaingia Hezbollah , Russia na Iran, mbona jamaa walipotea wako wapi?
Hao Hezbollah wangeshinda 2006 kama unavyodai hapa huenda Israel isingekuwepo hapo ilipo.Ambacho hujui ni kwamba Hezbollah wana gwanda za kijeshi na hawajichanganyi na raia , jamaa wapo full gear, lakini wakianza kichapo IDF anakubali. 2006 hio hapo mbona Israel alikubali masharti. Hivyo kusema Hamas wana nguo hazieleweki ndio kuna ugumu kupambana nao ni kukosa point.
Weka hicho chanzo hapa.....usibishe kiongozi wa Hamas kasema na vyanzo vya Israel vimesema askari waliokufa wanafika 3000.
Marekani haiwezi kuitaka Israel isitishe mapigano kwa kuwa marekani ni Israel na Israel ni marekani, hapa wote kwa ujumla wameomba poo kwa kuwa Israel bila marekani ni sawa tu na dangote wa kule Arusha na genge lake la ukabaji,, Israel anapigika ila media zinaficha, wananchi hawataki na ndio mana viongozi wameomba poo.haikuomba poo! Hii ni kutokana na shinikizo la Jumuia ya Kimataifa ikiwemo na Marekani kuitaka Israeli isitishe mashambulizi ya kijeshi ambayo yamegharimu maisha ya Wapalestina
Kama Israel ni taifa la Mungu kwani Tanzania ni taifa la shetani? Dini zimeharibu sana vichwa vya waafrika. Hama basi nenda Israel.Israeli ni Taifa La Mungu kama hutaki kumywa sumu
Hamas hawawezi kukwepa lawama kwa kuwaletea Wapalestina maafa na kwa unyama na Ugaidi walioufanya dhidi ya raia wa Israel.Sasa hiyo vita anapigana na nani sasa au hao wanawake,watoto ,wagonjwa na wanafunzi maana hadi Leo Hamas wapo na wanawasiliana kuhusu mateka.
Poleni sana Hamas tawi la KwamtogoleVile vi operation uchwara kupaisha yale mabati kwenda kupiga vinu vya nuclear kule Syria na Iraq viko wapi? vile vi covert operation vya kipuuzi ambavyo vinapigiwa chapuo miaka na miaka kwenda kuua watu iko wapi? Vistory vya kijinga toka miaka ya 60 vya six days war๐.
Hio six days war kashindwa kuidhihirisha pale Gaza, kaeneo km square 369, Kigamboni hio ina 578km square. Kuna vitu vinachekesha, nchi inapigana na wilaya hadi inaomba poo๐, ni aibu.
Israel ni mtori, tena mlenda kabisa, ona sasa askari 3000 wamelamba mchanga, tanks zaidi ya 300 zimepigwa. Wananchi full kuandamana.
Wakajifanya kuingia Gaza kutafuta mateka kuionyesha dunia wao ni wababe, matokeo yake wamelambishwa mchanga hadi wakaomba mazungumzo. Na mateka hata mmoja hajapatikana. Kinacho shangaza zaidi mateka wapo pale pale Gaza. ๐ , wazee wa intelligence duniani, Mossad akina kidon wako wapi? Ile unit ya vijana hackers hatari sana duniani iko wapi ile unit 8200๐, dah propaganda mbaya sana.
Israel ina propaganda sana, na katika watu wanajua kuji brand hilo nawasifu, wanajua kujisifu na kujipigia chapuo na kuaminisha wengine ambao ni vilaza, wakifanya kitu kidogo kelele kibao wakati kuna watu wanafanya vitu vya hatari kuliko.
Hizo intelligence na highest tech kwenye military viko wapi? mnashindwa kutumia umwamba wenu kupambana na vijana wamevaa viatu vya adidas na track suit tena kwenye kaeneo kama Gaza, nyie mmevaa full gear na magloves yenu, boots na gogles na bullet proof, badala yake mnapigika hadi aibu. Misaada toka ulaya yote na USA viko wapi?
Mmejipanga msururu na vifaru, magari ya deraya, airforce lakini mwishoni mmeishia kuua watu 14000 kati yao watoto ni nusu yake. Na raia wasio na hatia.
Yaani unaua vitoto karibu 7000 havijui chochote, ugaidi wa kutisha kabisa.
I bet Israel hata South Africa haiwezi pambana nayo, usiende Iran wala Korea huko atachapika apotee.
Israel imeonyesha uchovu wa hali ya juu, sasa wazee wa kazi Hezbollah wameingia kazini, hapo Netanyau lazima akubali tu, kwa sababu hadi sasa wananchi wanawatukana viongozi wao hawana akili.
Poleni sana wa Israel kutoka Namtumbo.Poleni sana Hamas tawi la Kwamtogole
Ushindi vitani sio kuua watoto na wanawake na kubomoa majengo,, kama yeye kweli muisrael mwanaume mboni kashindwa kukomboa mateka mpaka wa leo na ana kila silaha ya kisasa unayoijua wewe,, ukiacha wanaume wa gaza wanaotumia rpg na magoboreUngependa wapalestina wangapi wafe ili uamini kuwa hamas waliingia cha kike
Shinikizo gani wewe? Umoja wa mataifa umeshinikiza mara ngapi Palestine itambulike nchi hao wa5enge wanajifanya kichwa ngumu? vita ya 2006 baada ya kuchezea sana wakakubali mazungumzo na Hezbollah, walijifanya wanakwenda Lebanon kutafuta mateka yalifikia wapi?Mkuu Yaani umeandika kishabiki kweli kweli!
Kutokana na jinsi ambavyo karibu dunia nzima wanafuatilia vita hivi,data ulizotoa siyo za ukweli.
Israel haikuomba poo! Hii ni kutokana na shinikizo la Jumuia ya Kimataifa ikiwemo na Marekani kuitaka Israeli isitishe mashambulizi ya kijeshi ambayo yamegharimu maisha ya Wapalestina wengi sana tangu vita ianze.Hiki ndicho kimepelekea Makubaliano ya kubadilishana mateka na wafungwa wa kipalestina kadhaa.
Lakini Mkuu unashangilia nini wakati Gaza imeachwa ni Magofu na Wapalestina wengi wamekufaa?