Ubabaishaji wa mitandao ya simu katika matumizi ya MB

Ubabaishaji wa mitandao ya simu katika matumizi ya MB

Umkonto

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2018
Posts
3,117
Reaction score
5,372
Leo nimewanasa Halotel kwa kuonesha ubabaishaji katika matumizi ya MB. Sina uhakika kama ni wizi au ni system yao ya kuangalia salio ilipata shida.

Ipo hivi:
Saa 04:03 PM salio lilikuwa MB 60.

Saa 05:19 PM salio lilikuwa MB 17.

Saa 9:33 PM salio likawa MB 33.

Je, ni system ilipata shida au huwa ni wizi wanaufanya hii mitandao ya simu kwa kuwaibia wateja MB?

Naambatanisha ushahidi wa picha za sms za salio.
Screenshot_20230610-213912.jpg


Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Dawa ni kutafuta namna ya kuingilia ie kudukua mifumo yao na kulipiza kisasi
 
Bora wewe, mimi laini yangu nikiiweka kwenye kibatani inaonesha ina mb nikiirudisha kwenye smart phone ina onesha salio ni 0 mb.
 
Back
Top Bottom