Ubabaishaji wa CHADEMA

Chadema sio chama cha kushika dola, hakina dra yoyote
 
1. Kujifanya unajua kila kitu bila kusikiliza mawazo ya wengine ni UDIKTETA HASWA
2. So wanafki ni wengine na si Makomeo aliyefanya zoezi kwa upendelea na kumuacha Bashite bado anapumulia
3. Hilo zoezi la madawa ya kulevya lilifanyika kwa uonevu na kutaja vigogo ili waliwe mali zao, mjipange
4. Alikurupuka bila kujua impact ya mbeleni lazima alaumiwe
5. Umeirudia
6. Kwani uongo
7. Na wengi sana watawakimbia
8. mpaka 12 patupu....................................
 
Akili zako unazijua mwenyewe.Pole sana.

Chama Cha Mauaji miaka 55 mlichoweza kufaniakiwa ni Mauaji,utekaji,utesaji,wizi wa raslimali za Taifa period.Mengine peleka Lumumba
Bora zangu kuliko za wadeki lami
 
Ili uwe shabiki wa upinzani wa tanzania lzm uwe na uwezo mdg wa kufikiri ...
 
Ukiwa upande wa mpuliza kipenga ni rahisi sana kubeza upande wa pili wa timu pinzani maana unajua watakapojibu mapigo rungu la mpuliza kipenga litawashukia.Kwaiyo acha uchokozi ndugu.
 
Hawa ni wapiga kelele, waliopoteza uhalali wa kuwa chama mbadala chenye hadhi ya kuwatumikia wananchi, baada tu ya kumpokea Mzee ENL, ambaye waliwaaminisha wananchi kwamba hana sifa za kuwa kiongozi mkuu wa nchi.

Ni wapigaji wenye kufukuzia fursa, wanayo bei yao, ukiweza kuwaita chemba na kuongea nao kiutu uzima, basi utaifahamu tu hiyo bei.
 
Chadema sio Chama cha siasa. Ni chama cha watetea wezi. Chama cha siasa hakiwezi kudandia hoja. Chama kimejaa umbea na kimekosa mwelekeo. Ni chama cha wapumbavu na malofa. Kwisha habari yao. Mbowe muuza ngada, Lowassa fisadi Papa, Lissu mla. Rushwa wa kutetea mabeberu, Lema kavurugwa Marinda yaani wote maji kanyaga.
 
Mkuu CHADEMA ni SACCOS
 
Ni shida kwakweli, watu wanaenda Ufipa akili wanaacha nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…