Ubabaishaji wa CHADEMA

nakupa hiyo assignment katafute mtaani unakoishi hizo habari ukikosa njoo useme nimekosa
Hakuna kitu kama hicho Sheria ya kazi na mahusiano kazin na circular mbalimbali za utumishi zinasema mtumishi anapotuhumiwa na jambo lolote mwajili atamsimamisha kazi na atapata mshahara wake kamili kipindi chote ambacho atakua kasimama kazi kupisha uchunguzi sasa lete hapa kesi ya huyo mtumishi ni nan kwa jina lake na alifukuzwa kazi wapi na kesi ilikua katika mahakama gan na ruling yake ilitoka ln
 
Tatizo transparency uongozi huu umeiminya sana na freedon of press
Ambavyo ndio viashiria vizuri vya demokrasia.

Nadhani hawakuashiria aje kiongozi mkali kwa maana asiulizwe akipotika ila mkali mwenye kudeal na wahujumu uchumi kwa mujibu wa sheria
 
Safi mkuu nami naongezea nyama hapo juu chief na copy hii nondo yako
 

Hakuna mahali Chadema walipomtaka RAIS anayevunja SHERIA na KATIBA aliyoapa kuilinda.

Hatukuhitaji RAIS anayetaka kuwamaliza wanaomkosoa.

Pole sana kajipange upya.

Chama Cha Mauaji miaka 55 mlichoweza kufanikiwa ni MAUAJI,UTEKAJi,WIZI,UTESAJI na UJANGILI.
 

Naona baada ya kumnunua Dr.Slaa naona vijana wa CCM mkimpa sifa zote zamani mlilowesha kwa matusi mpaka ya nguoni.

Kama mnamuona Ndugai na Tulia wanaliongoza Bunge vizuri basi mnamatatizo na hamlitakii wema Taifa letu

Ya CUF kuwa CCM B hayo ni ya UVCCM ila ile CUF Lipumba siyo tu CCM B nali ni tawi la CCM

Kama ilivyo kwa UNAFIKI hata MAUAJI ya RAIA wasio na hati hayajawahi kumuacha mtu salama.CCM mko busy kutafuta mchawi wakati wachawi ni nyie wenyewe .
 
kavunja sheria gan namba gan ya mwaka gan?Kavunja kipengere kipi katika katiba?
 
Naona wew ni ccm pure iv unajua maana ya upinzani au unaropoka tu chadema chadema sema ukawa walikua wanasema ivi na ivi
 
Kama mlinunuliwa na Fisadi Lowasa (kwa mujibu wa Lema na Mbowe na pro chagadema) kuna kosa gan CCM kunua mtu msafi kama Slaa
 
punguza unazi mkuu weka akili yako huru,unakumbuka kesi ya wale waliofukuzwa BOT?
 
kavunja sheria gan namba gan ya mwaka gan?Kavunja kipengere kipi katika katiba?

Ni mara ngapi wapinznai wamesema JPM anavunja katiba na vipengele wamevitoa.Sasa kama unavihitaji nenda ukasome KATIBA.

Katiba yetu inaruhusu RAIA kutoa maoni yake,Katiba yetu inaruhusu vyama vingi na inaruhusu mikutano ya vyama vyote vya siasa inakuwaje miaka yote hii ni CCM tu inayoruhusiwa kufanya siasa wengine je??Wakikusanyika hata kwenye ofisi zao mnatuma polisi.

Tshirt pia ni shida hapo hatujaongelea kuhusu Bendera za CHADEMA ni kama vile mtu akiona bendera au tshirt ya Chadema anapata ugonjwa wa degedege.

Imekuwa kila siku wapinzani wanapishana polisi utadhani clinicmkisa Mkullu hataki kuusikia ukweli.

Miaka 2 ya JPM mlichoweza kufanya kwa mafanikio ni haya:
1.UBAGUZI.
2.CHUKI
3.VISASI
4.UNYANYASAJI wa wapinzani.
5.Mauaji
6.UTESAJI
7.UTEKAJI

haya ndiyo amefanikiwa kwa kiwango cha 80%

Poleni cana CCM miala 55 mlichoweza mlichofanikiwa ni hayo 7 hapo juu
 

kavunja sheria gan namba gan ya mwaka gan?Kavunja kipengere kipi katika katiba?
 
Chafema ni kikaragosi ukiwaamini ukawapa nchi ndio kwa heri sasa hivi mwenyekiti wao kahama nchi anakusanya michango
 
Kama mlinunuliwa na Fisadi Lowasa (kwa mujibu wa Lema na Mbowe na pro chagadema) kuna kosa gan CCM kunua mtu msafi kama Slaa

Mlionunuliwa ni nyie CCM kiasi kwamba mnachoweza kufanya ili kuwaprotect wawekezaji ni kuwaua wanaojua siri za wawekezaji.

Siyo tu mmenunuliwa na wawekezaji mmelisabishia TAIFA hasara ya mabilioni huku mkigawa madini yetu bure mkipewa vishares vichache vya kuwafunga midomo.

Siyo kununuliwa tu hata huyo mnayemuona ni mungu wenu ana skendo za kivuko kibovu,chaguzi zilizotegemea wizi wa mabilioni ili kumfanya awe RAIS,Escrow ilisaidia jamaa yenu kuwa Rais sasa unapopiga mawe angalia nyumba uliyokaa ni vioo vitupu.

Huyo mnayedhani ni Malaila ndiye anaykwapua mabilioni kwa kusingizia kununua ndege,kujenga uwanja nk nk. Hivi mpaka leo amewapa hata mrejesho wa pesa anavyotumia??

Mwizi ni mwizi tu ameweka nduguze kila sehemu ili kurahisisha wizi,halafu mnakuja huku kushangilia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…