Tafiti zaidi,maana Usidhani Nyanya zipo nyingi Hapa nchini,Kiwanda cha Dabaga wanalazimika kuimport Tomato paste miezi 6 kwa Mwaka,kipindi cha uhaba wa Nyanya.Hizi unazosikia Dodoma na Kwingineko hazijawa nyingi za Kutosha Kiwanda.Pili vema ukachagua Kazi moja,ili uwe efficient,aidha ulime au Uchakate (Specialisation ni Mhimu kwa Ufanisi)