UANAUME ni nini?!

Mr Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2016
Posts
1,670
Reaction score
767
UANAUME ni nini?!

UANAUME ni pale MCHUMBA wako anakwenda KUKUTAMBULISHA kwao baada ya UTAMBULISHO unamwita pembeni BABA MKWE wako unamuomba NAULI ya kurudi MJINI na yeye bila hiyana anakupatia, unatia mfukoni na kuaga kurudi zako MJINI....!!

...HUO NDO UANAUME

ONYO 😵😵😵 kama huna uhakika na akili zako usihangaike kujibu
 
Uanaume ni pale unapohonga mamilioni wakati bado unaishi nyumba ya kupanga.
 
Uanaume ni kukubalika na madem wakali na wenye elimu zao.
Kama mimi nilivyokubaliwa na Faiza Foxy
Hahahaa
 
Uanaume ni pale unapohonga mamilioni wakati bado unaishi nyumba ya kupanga.

Sasa hapo kipya kipi wakati wa 2015 kurudi nyuma watu walitoa mpaka viwanja wewe wasemea miliooo
 
Uanaume ni pale unapopambana na changamoto ngumu zaidi kimaisha...ambazo pengine wengine hushindwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…