Mkuu hii Tanzania, kama asingekuwa huyo alienyanyua fimbo tungesema ni Burundi maana jamaa kuna mazingira walikuwa wapore hata wanaposogelewa na waandamanaji
Mkuu hii Tanzania, kama asingekuwa huyo alienyanyua fimbo tungesema ni Burundi maana jamaa kuna mazingira walikuwa wapore hata wanaposogelewa na waandamanaji
Tangu lini ffu wa tz wakavaa mabaka baka? Kwanza wanavyopenda sifa kwa jinsi huyo jamaa alivyojiamini wangemjia na smg+mabomu ya machozi+virungu bila kusahau gari zima la maji za kuwasha.