EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,563
- 1,886
Wakuu poleni sana na uchaguzi. Naenda kwny hoja rafiki yangu kanifata jana usku aktaka ushauri ana mchumba wake ambaye si official kvile na huyo mchumba wake yuko mbali nae kwasasa ila wanawasliana vzuri tu. Sasa sku ya Ijumaa alimuomba mchumba wake huyo amtumie picha maana ktambo hajafanya hivyo mchumba akamwambia nitapiga kesho nikutumie.
Jamaa akamwambia poa sasa imefika kesho yake ya kutuma picha mchumba anamwambia sijapiga kwani simu imejaa mpaka nifute vitu, jamaa akamwambia unanikosea kwani nini kimeshindikana kufuta kama ulikuwa hutaki ungesema lakini ahadi za uongo hasa kwenye mambo madogo huwa sipendi. Eeh kumbe mchumba iyo kaul ikamkela akasema pcha tu ndo unasema ivyo je tukianza ishi pamoja.
Jamaa anasema akamwambia hapana sina nia mbaya nimekwambia tu usiwe unaniahid jambo halafu uslifanye, sasa walikua kwny dm zao whatsapp kila mtu alikuwa ameweka pcha ya mwenzake, jamaa anashangaa akiangalia dm ya mchumba ake hakuna pcha inayonekana.
Ikabidi amuulze mbona dm umetoa picha yangu kosa kukwambia usiwe unaniahidi halafu hutekelez au ndo umeamua kuniacha? Mchumba akamjbu we ukiamua tuachane poa uamuzi upo mikonon mwako. Jamaa akanambia akamjbu mchumba ake kwamba UKIONA MPENZI WAKO ANAKWAMBIA UAMUZI WA KUACHANA UPO MIKONONI MWAKO YAANI YE KAMA HANA CHA KUPOTEZA UJUE HUNA UMUHIMU KWAKE. Mchumba mtu hajajibu sasa ndo alinifata nimshauri mi nlichomwambia naye anyamaze kimya tena kama hajakalili namba za mchumba wake afute kwny simu yake namba na conversation ya sms zote na call log na akae kimya hata kama inauma avumilie kama ni wake atakuja tu.
Je, wadau nyie mnamshauri nini kamanda.?
Je, mimi nimekosea kumshauri hivyo?
Jamaa akamwambia poa sasa imefika kesho yake ya kutuma picha mchumba anamwambia sijapiga kwani simu imejaa mpaka nifute vitu, jamaa akamwambia unanikosea kwani nini kimeshindikana kufuta kama ulikuwa hutaki ungesema lakini ahadi za uongo hasa kwenye mambo madogo huwa sipendi. Eeh kumbe mchumba iyo kaul ikamkela akasema pcha tu ndo unasema ivyo je tukianza ishi pamoja.
Jamaa anasema akamwambia hapana sina nia mbaya nimekwambia tu usiwe unaniahid jambo halafu uslifanye, sasa walikua kwny dm zao whatsapp kila mtu alikuwa ameweka pcha ya mwenzake, jamaa anashangaa akiangalia dm ya mchumba ake hakuna pcha inayonekana.
Ikabidi amuulze mbona dm umetoa picha yangu kosa kukwambia usiwe unaniahidi halafu hutekelez au ndo umeamua kuniacha? Mchumba akamjbu we ukiamua tuachane poa uamuzi upo mikonon mwako. Jamaa akanambia akamjbu mchumba ake kwamba UKIONA MPENZI WAKO ANAKWAMBIA UAMUZI WA KUACHANA UPO MIKONONI MWAKO YAANI YE KAMA HANA CHA KUPOTEZA UJUE HUNA UMUHIMU KWAKE. Mchumba mtu hajajibu sasa ndo alinifata nimshauri mi nlichomwambia naye anyamaze kimya tena kama hajakalili namba za mchumba wake afute kwny simu yake namba na conversation ya sms zote na call log na akae kimya hata kama inauma avumilie kama ni wake atakuja tu.
Je, wadau nyie mnamshauri nini kamanda.?
Je, mimi nimekosea kumshauri hivyo?