Ualimu ni kazi au shughuli?

Usidanganyike acha hofu ya maisha.ualimu ni umaskini mwanaume gani ulipwe hivyo jipange acha kazi mungu yupo utafanikiw
 


Duuuh. Yaani na wewe ndugu yangu maelezo yako yote hapo juu umeamua kuyafanya sentensi moja na inaonekana dhahiri kwamba bado ulikuwa unaendelea! Hakuna koma wala full stop.
 
Pole sana mkuu I know deeply what you mean,but find other alternatives kwa kutumia hicho hicho kidogo unachokipata
 

we ni mshauri mwema,ninashukuru.
 
TZ tajiri nenda kwenye jukwaa la biashara omba msaada utaelimishwa.daima uwoga ni umaskini thubutu utafanikiwa.
 
Usishangae,ualimu ni kimbilio la waliofeli. Div 4 ndio pass mark zinazohitajika.[/QUOTE

Acha bangi zako wewe unafikiri bila mwalimu ungeweza kujiunga na jamiiforums? Mwalimu ni mtu muhimu sana ambaye hata rais anapaswa kumpa heshima zote.
 
Embu mtuulize wakongwe wa vijijin tuliopo maeneo ya umwagiliaji ungeacha kazi fasta uje ulime.toka mjini nenda kalime.
 
Hakuna msomi tajiri yeyote duniani ambaye anaendesha maisha yake kwa kusubiri mwisho wa mwezi apate mshahara then apange matumizi,karibu wote wanategemea biashara na ujasiliamali...nadhan ungetumia kambuzi hako kadogo katika ujasiliamali kaka...mshahara 2pu hata uwe m5 hautatosha asilani...kwa ushauri mzur na wakitaalam tembelea jukwb la biashara na uchumi teacher or sorry kumbe ni Sir...
 
Na bado walimu wengi wanatamani kupangwa mjini ilhali wanajua mjini ni matumizi tu.
Ukiwa kijijini na msahara huo unaweza ku-save kiasi kila mwezi na ukapata cha kufanya ili kujiongezea kipato.
Kingine mwalimu punguza kulalamika na uchukue hatua.Unafahamu kuna watu ni walinzi tu wanalipwa elfu 80 kama mshahara na bado wana familia!?
Tumia taaluma yako kujua namna ya kuondokana na kuwa tegemezi kwa serikali ambayo iko busy na UKAWA.
 

Duh! Na wewe unajiita Administrator au ? Hivi unaweza kuandika upuuzi kiasi hicho.acha kudhalilisha taaluma za watu.

Ebu nambie mwalimu wa degree unamlipa sh ngapi? Unapomwambia akasome huo mshahara wa diploma na degree ni sh ngapi? Nyie ndo chanzo cha kuua elimu inchini Shem on you .

Eti acha kazi kalime au nenda ulaya uwe mbeba mabox. Kwani kilimo siyo kazi! Kwa taarifa yako bila kilimo wewe huna lolote utakula pesa? Nina Mashaka na elimu yako, uchumi wa taifa unategemea kilimo kama wewe unadhani wakulima ni wajinga katika nchi hii mwenyezi Mungu akusamehe lakini mimi sikusamehi.

Mwisho nakuahauri unapokuwa huna majibu mazuri kaa kimya wapo wataalam wa ushauri nasaha wangemshauri mwalimu na watoto wetu wakaendelea kufundishwa kwa upendo na huyo mwalimu
 

nyamuhanga?
 

Kwan wewe ndo unajua kuandika? Mbona haufuati kanuni za uandishi? Mbona hiyo sentensi yako kubwa kama aya? ------- mkubwa. kumbe nyani haon kundule
 
Duuuh. Yaani na wewe ndugu yangu maelezo yako yote hapo juu umeamua kuyafanya sentensi moja na inaonekana dhahiri kwamba bado ulikuwa unaendelea! Hakuna koma wala full stop.

Mkuu achana na huyu kirazaaa, kazaa juzi juzi tu bado halali vizuri mtoto analia sana usiku kucha mpaka akili imekaaa kiusikusiku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…