Duuuuuh,hii kweli inchi ya viwanda.Ndiyo, sabuni!
Jibu sahihi kabisa.Kama zinatosha tuta export kwingine hazitoshi!
Akaombe kazi kwenye hiyo picha au mi sijaelewa?Ndiyo maanake, kama una mdogo, ndugu, jamaa au hata mjukuu mpeleke akaombe kazi!
Mkuu kama hapa kwetu zimetosha mbona tunanunua sabuni toka kenya, China, n.k?mbona sabuni zinatosha ?
Hata kikija kiwanda cha kuunda/kutengeneza miguu bandia bado watz watasema mbona tunaweza kuchonga hata miguu ya miti na ikatumika, sijawahi kujua mtz anataka nini yaani kila kitu yeye ni mjuaji tu.Eti sabun, wakati m2 unatengeneza mwenyewe kwa kutumia mawese kwanza sabun b0ngo n nyng nenda dukan utajua