Two people injured in suspected IED explosion at Latema junction near Odeon, Nairobi

Yes very desperate!. After the blast, the only evidence to show that something had happened was the cordoned off road. But ironically just a few yards from the crime scene, people were busy going about their businesses as usual. Just perplexed by how the public is rapidly becoming hardened against the face of terrorism.
That is very bad sign, if citizens get back to Norma in very short time after bomb explosion, that means they get used to these violence, like Somalia, Yemen, Afghanistan, Syria, Kenya, and Iraq. All these fall under failed states.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wasichojua ndugu zetu wakenya ni kwamba wasomali waishio kenya wakisikia shambulio limetengezwa na wasomali wabafurahi na kuwakubali sna wenzao kwa kupanga mipango ilionyooka kiasi cha kuondoa amani ndani ya wakenya wenzao.
 
Gaas-s-1132x670.jpg

Huyu jamaa ni mwisho!
 
That is very bad sign, if citizens get back to Norma in very short time after bomb explosion, that means they get used to these violence, like Somalia, Yemen, Afghanistan, Syria, Kenya, and Iraq. All these fall under failed states.

Sent using Jamii Forums mobile app
The way you take a country for a failed state does not apply to everyone and its not final. Take that odd list of yours to any bird on Mt Kilimanjaro and it will single out Kenya as the odd one out. Sorry, your wish to have Kenya as a failed state will never come. I'm shocked on how poor you are in analysing issues.
 
hawa wasukuma mkokoteni wa Nairobi ni wezi sana sio rahisi mtu amuachie begi halafu arudi amkute nadhani baada ya huyo msomali kurudi nyuma kufuata kitambulisho huyo msukumamkokoteni alifungua begi ili ajue kilichomo na alichokuwa anakitafuta amekipata
 
hawa wasukuma mkokoteni wa Nairobi ni wezi sana sio rahisi mtu amuachie begi halafu arudi amkute nadhani baada ya huyo msomali kurudi nyuma kufuata kitambulisho huyo msukumamkokoteni alifungua begi ili ajue kilichomo na alichokuwa anakitafuta amekipata
Theres a possibility kabisa.
Kwa Nairobi si rahisi Mtu aache mali yake kirahisi hivyo, jamaa aliona kapata bingo akaamua achunguze

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Theres a possibility kabisa.
Kwa Nairobi si rahisi Mtu aache mali yake kirahisi hivyo, jamaa aliona kapata bingo akaamua achunguze

Sent using Jamii Forums mobile app
Na kwa jinsi mazingira yalivyo alikwenda kuchunguza mbali kidogo na mkusanyiko wa watu ndio maana madhara hayakuwa makubwa wakenya mungu amewasimamia sana hata lile tukio la riverside kama mipango ya magaidi ingeenda jinsi walivyopanga watu wangekufa wengi sana
 
Kidogo umetumia point
hapo ndio mtaona Hili jambo linaenda kuwa gumu sana
Ni wakenya wenyewe kwa wenyewe
Haya mambo yapo kiimani zaidi. Ule ugaidi wa kule Garisa university mpaka kijana wa ki Tz aliokuwamo, huku walijiita Al shabaab !!. Na kijana yule kilichomuingiza kwenye mambo hayo ni IMANI kali. Na aliwaona waSomali kama nduguze kuliko wa Arusha wenzie.

Ukweli upo ila watu wanakwepa kwepa . Jibu lipo misikitini tusione haya.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengi wanapozipata hizi habari hufikiria tu kulaani haya matukio moja kwa moja lakini upande wa pili kama wametia pamba za masikio hawajui kwamba Kenya wamemimina majeshi yao kule somalia na wameuwa watu na waislamu na vichanga na ku disparate watu maelfu kwa maelfu katika makazi yao ya kudumu nchini somalia na hivi yanatokea haya bado Kenya inashikilia somalia.

Nadhan hili jambo ni baya zaidi na la kulaaniwa zaidi kuliko yote
 
That is very bad sign, if citizens get back to Norma in very short time after bomb explosion, that means they get used to these violence, like Somalia, Yemen, Afghanistan, Syria, Kenya, and Iraq. All these fall under failed states.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ati GDP ya Kenya by 2020 itakuwa $100 billion. Sasa tokwa povu.
 
The way you take a country for a failed state does not apply to everyone and its not final. Take that odd list of yours to any bird on Mt Kilimanjaro and it will single out Kenya as the odd one out. Sorry, your wish to have Kenya as a failed state will never come. I'm shocked on how poor you are in analysing issues.
kenya ranked as a failed state

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom