Two Indian police suspended over Tanzanian student attack

Two Indian police suspended over Tanzanian student attack

Tusipoweza kureact leo usitegemee kesho watakuheshimu.Issue ya ubaguzi India siyo ya jana wala leo.Watu weusi India wanabaguliwa sana.Ifike mahali tujivunie UAFRIKA na UTANZANIA wetu Tuwe wazalendo hasa.Muhindi ni Muhindi tu mbaguzi awe india,Afrika au Canada m=ni walewale wabaguzi.Hivi katika wale 20 waliona sahihi kupiga watanzania wanne pamoja na kujitambulisha kwamba wao ni watanzania aliyeua ni Msudan bado wakasema ni wale wale.So hata tulionao hapa ni wale wale.Wahindi wangapi wanongea kiswahili leo??Nenda hapo upanga uliza wahindi wangapi wanaongea kiswahili kilichonyooka??Ni wangapi wamezaliwa na kukulia Tanzania lakini leo ukiwauliza kiswahili hawakijui???

Bado hujaniambia kitu kuhusu hawa PONJOOO,hakika warudi kwao tu
Hawa jamaa kuna shujaa wao mmoja anaitwa Gandhi nilisoma historia yake nikaja kugundua kwamba huyu jamaa ni mbagudhi alikusanya vijana was kihindi zaidi 100 ili kuungana na makaburu kwa ajili ya kupigana na wazawa yeye akidai wahindi hawapaswi kutritiwa Kama watu weusi na aliwaita watu weusi kaffirs. Ndo nikaja kugundua hawa jamaa wanawasajudia Sana na kuwaogopa wazungu na kuwabagua kiasi kikubwa watu wenye rangi nyeusi. Mimi binafsi my primary assumption ya muhindi yeyote ni mbaguzi tu hats aweje.
 
Haiwezekani tukaandamana kupinga matendo yao ya ubaguzi?
 
Piga marufuku wahindi Tanzania,, maana wanabenefit sana kwetu wakati hatubenefit kwao, kifupi hawana faida kwetu zaidi ya wao kupata faida kwetu... Cha zaidi ni sisi kwende kusoma na kutibiwa kwao tena tunalipa,, sasa kuna haja gani kama kusoma duniani kuna vyuo vingi sana... Waafrica tuache upumbavu na kunyenyekea hizi mbwa duniani hapa,, wajaribu kufanya hivyo kwa mtoto wa kiarabu uone mziki,,, mbwa hawa... KUJIPENDEKEZA KWETU KUNALETA SHIDA SANA, NI MUDA WA KUKOMAA NA KUJITEGEMEA WAAFRICA..
 
Tatizo la Waafrica ni maamuzi magumu,, kupenda kwetu raha ndio kunaleta shida...
 
Hata wahindi wa hapa ni wabaguzi pia, ukizaa naye wanamtenga

Sio kweli mimi mtoto wangu wa kwanza ambae nilizaa nikiwa kijana mdogo tu nilizaa na mhindi huko Kigoma na sasa mwanangu ni kijana wa miaka 24, ni PM nikutumie jina lake kwenye facebook, sio wote ni kweli kuna wabaguzi lakini sio wote,,, mbona hata baadhi ya watu hawapendi watoto wao wakaaolewa na baadhi ya makabila, mfano kuna wazazi ukiwaambia naona Mhaya au Mchaga utasikia baba au mama yako anakwamba '' na uhame hapa unatuletea wahaya, au unatulea mchaga, au wewe nawe umerigwa unao mzaramo? au unaoa muislam? lakini watanzania wote wenye mawazo haya? jibu sio ni baadhi lakini unawezaje kuwabebesha watanzania wote zigo hili la ubaguzi wa kabila?
 
Duuuuuh hili swala lime make headline sana india na ulimwengu ngoja tuone mwisho wake
Infact watanzania hatuna uzalendo, ningetegemea kuona reaction ya hapa nchini, mfano, peaceful demonstration kwenda ubalozi wa India ku seek justice kwa waliohusika huko india, ningetegemea kuona reaction kutoka media Council au MOAT kuwa hawatapokea au kutoa matangazo ya taasisi za elimu za India, ningetegemea kuona peaceful demonstration kwenda ministry of foreign affairs kutaka Serikali itoe tamko na msimamo wake juu ya unyanyasaji huu
 
Hawa jamaa kuna shujaa wao mmoja anaitwa Gandhi nilisoma historia yake nikaja kugundua kwamba huyu jamaa ni mbagudhi alikusanya vijana was kihindi zaidi 100 ili kuungana na makaburu kwa ajili ya kupigana na wazawa yeye akidai wahindi hawapaswi kutritiwa Kama watu weusi na aliwaita watu weusi kaffirs. Ndo nikaja kugundua hawa jamaa wanawasajudia Sana na kuwaogopa wazungu na kuwabagua kiasi kikubwa watu wenye rangi nyeusi. Mimi binafsi my primary assumption ya muhindi yeyote ni mbaguzi tu hats aweje.

Hakuna MUHINDI atakayempenda mtu mweusi,labda kuna kitu toka kwako ndipo atakuona kwamba wewe ni binadamu
 
Back
Top Bottom