Two imams pulled from plane

Safiiiiii sana!
Waislamu wanavuna walichokipanda duniani kote, ni dini ya chuki, hasira, visasi, ubaguzi, na hawana ubinadamu, sasa dunia imewastukia...
Angalia wakristo wanavyoonewa Zanzibar, Saud Arabia, Sudan, Misri, Malaysia.
Juzi juzi tu Mahakama kuu ya Malaysia ilipisha sheria kuwa sheria zao hizimtambui mkristo, kwa hiyo hawezi kushinda kesi yoyote mtu anaekiri kuwa mkristo, kwa katiba yao ni sawa na mnyama... sasa wanataka nini?
1: Ndg pamoja na yote hayo uchochezi wa kidini sio mzuri
2;Inamaana hao abiria walikuwa hawana imani na ulinzi uliopo airport?
 
Wakristo ni 8,000,000 milioni nane Misri lakini hawapewi kazi yoyote, kama si utalii wa wazungu basi wangekufa wote

Kinachonishangaza ni kuwa tajiri mubwa wa Misri ni Mkristu.....
 
Hawa watu hata hawatumii akili. Kweli mtu kama anataka kufanya ualifu wake wa kulipua ndege basi ndio avae kanzu, kofia na abandike madevu meeeeengi kama father xmas. Ili hiweje ndio mabomu yataripuka vizuri au...!?
 
Hata kama wana imani, lakini hawajashushwa kwa uwoga tu, bali wanatia kichefu chefu, watu wa kundi kama leo au a japo ni waislamu wenzao kwa jina la dini wamewauwa ndugu zao, kwa hiyo, ni damu zao zimekataa kusafiri pamoja na wala watu, au kama sio ni wenzao...
 
Sometime inabidi uilewe enviroment iliyopo ili usipate vikwazo na uishi vizuri na wanajamii . Hasa hasa kama wanajamii wenyewe wana tofauti za kitamaduni na mila .

Wakati hao jamaa hawajentendewa haki kutolewa kwenye ndege. lakini hofu ya abiria wengi nayo ni jambo la kuzingatia. kila upande una mambo ya kufanya kuepusha usumbufu huu
 
Wao wawili hawakufurahishwa na kitendo cha kuondolewa kwenye ndege, lakini pia abiria waliokuwa wengi zaidi ndani ya ndege hawakufurahishwa na uwepo wa hao muslims mule! Labda ingepigwa kura!

majority rule,minority right...
 
Safiiiiii sana!
Waislamu wanavuna walichokipanda duniani kote, ni dini ya chuki, hasira, visasi, ubaguzi, na hawana ubinadamu, sasa dunia imewastukia...
Angalia wakristo wanavyoonewa Zanzibar, Saud Arabia, Sudan, Misri, Malaysia.
Juzi juzi tu Mahakama kuu ya Malaysia ilipisha sheria kuwa sheria zao hizimtambui mkristo, kwa hiyo hawezi kushinda kesi yoyote mtu anaekiri kuwa mkristo, kwa katiba yao ni sawa na mnyama... sasa wanataka nini?

:usa::israel::israel:Mkuu umesema ukweli mtupu. :israel::israel::usa:
 
<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/usa.gif" border="0" alt="" title="Usa" smilieid="313" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/israel.gif" border="0" alt="" title="Israel" smilieid="207" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/israel.gif" border="0" alt="" title="Israel" smilieid="207" class="inlineimg" />Mkuu umesema ukweli mtupu. <img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/israel.gif" border="0" alt="" title="Israel" smilieid="207" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/israel.gif" border="0" alt="" title="Israel" smilieid="207" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/usa.gif" border="0" alt="" title="Usa" smilieid="313" class="inlineimg" />
<br />
<br /> umeshiba ile mikate uliyokalanga kama isemavyo ezek.4:3
 
Lkn hijab si vasi la dini pia...mbona hapa zanzibar (even tanga)baadhi ya wadada wanalivaa na huku wanauza, nje unaona hijab, ndani kichupi tu biashara kama kawa!!!
Wanaojilipua hivyo hivyo vichwani vikofia na kanzu jeupe lkn kichwani na mioyoni giza nene....wauwaji na wakatili wakubwa!!!!
 
Ivi masheikh , mapadre, masisista, wanautamaduni wangeamua wote wavae mavazi ya kidini barabarani, disco,sokoni, kwenye ndege n.k ingekuaje kama si kujaza matambala kusikohusika? Sihulaumu upande wowote kwa tukio ilo maana kila mtu kapata haki yake. Jifunze dress code ya mahala na mazingira yake. Ktk daladala tunakutana na mapadre na wachungaji na masheikh walioenda shule wamevaa vazi la kitanzania lakini utamuona mtu kutoka manzese au mtwara kavaa booonge la msalaba au wengine mkanzu mchafu au kakata suruali ikawa kama pensi ndeeeefu eti wanaienzi DINI wakati hata viongozi wao hawajafikia hatua iyo. Jamani tujifunze utamaduni wa mahala wala si kujiona we ndo wewe. Lets be sincere to call a spade a spade, ngoja wakekereketwa wapate haki yao.
 
Back
Top Bottom