Mimi napenda sana soka. Kuna uchaguzi wa TFF mwezi Agosti, 2025. Nawashauri wajumbe watakaomchagua Rais wa TFF wamchague Ally Mayay ili awe Rais kwa kipindi kijacho. Rais anayemaliza muda wake amevuruga sana soka la Tanzania, na anatuhumiwa kwa upendeleo na ameshindwa kusimamia fedha za TFF mpaka timu kadhaa mpaka sasa wanaidai TFF malipo yao. Rais wa sasa hafai na asichaguliwe katika nafasi ya Rais wa TFF.