Twende Udzungwa Mountains National Parks

Twende Udzungwa Mountains National Parks

Conrad84

Senior Member
Joined
Feb 14, 2016
Posts
104
Reaction score
43
Hi all,

Bado tuna nafasi za kutosha kwenye bus letu kwa safari ya kuelekea hifadhi ya Taifa ya Udzungwa, Safari ni ya kuondoka Jumamosi na kurudi Jumapili, safari itaanzia Ubungo Mataa. gharama itausisha,

- Nauli ya kwenda na kurudi
- Kiingilio
- hotel
- Gharama za Muongozaji
- Na breakfast
Kwa watakao penda kuungana nasi.

Tuwasiliane; 0763 553 888
au Barua pepe:
safaripamoja@gmail.com

Kwa safari zingine za mbuga tofauti tembelea page yetu ya Facebook Id: safaripamojatz
 
Hi all,

Bado tuna nafasi za kutosha kwenye bus letu kwa safari ya kuelekea hifadhi ya Taifa ya Udzungwa, Safari ni ya kuondoka Jumamosi na kurudi Jumapili. Kwa watakao penda kuungana nasi.

Tuwasiliane; 0763 553 888
au Barua pepe: safaripamoja@gmail.com

Facebook Id: safaripamojatz
mkuu,mnaanzia wapi safari yenu?hebu fafanua vizuri..
 
Hi all,

Bado tuna nafasi za kutosha kwenye bus letu kwa safari ya kuelekea hifadhi ya Taifa ya Udzungwa, Safari ni ya kuondoka Jumamosi na kurudi Jumapili, safari itaanzia Ubungo Mataa. gharama itausisha,

- Nauli ya kwenda na kurudi
- Kiingilio
- Gharama za Muongozaji
- Na breakfast
Kwa watakao penda kuungana nasi.

Tuwasiliane; 0763 553 888
au Barua pepe:
safaripamoja@gmail.com

Kwa safari zingine za mbuga tofauti tembelea page yetu ya Facebook Id: safaripamojatz
Kaka karibuni sana kwetu Udzungwa, hali ya hewa safi, mazingira murua. Karibuni sana,
 
Nimeshafika udzungwa mta enjoy sanje fall inabidi uwe ngangali kupanda mlima

All the best
 
Hi all,

Bado tuna nafasi chache kwenye bus letu kwa safari ya kuelekea hifadhi ya Taifa ya Udzungwa, Safari ni ya kuondoka Jumamosi na kurudi Jumapili, safari itaanzia Ubungo Mataa. gharama itausisha,
- Nauli ya kwenda na kurudi
- Kiingilio
- Hotel
- Gharama za Muongozaji
- Na breakfast

Kwa watakao penda kuungana nasi Tuwasiliane; 0763 553 888 au Barua pepe: safaripamoja@gmail.com

Kwa safari zingine za mbuga tofauti tembelea page yetu ya Facebook Id: safaripamojatz
 
Safi sana,siku nyingine mjipange mje Serengeti na Ngorongoro kuna mengi yakuona huku.
 
Safi sana,siku nyingine mjipange mje Serengeti na Ngorongoro kuna mengi yakuona huku.
Asante mkuu, tumeshakuja zaidi ya mara 5 huko nikweli kuna mengi ambayo watanzania wanapaswa kujionea.
 
1469771266818.jpg
1469771275827.jpg
1469771285558.jpg


Hi,

Bado tuna nafasi chache kwenye bus letu kwa safari ya kuelekea hifadhi ya Taifa ya Udzungwa, Safari ni ya kuondoka Jumamosi na kurudi Jumapili, safari itaanzia Ubungo Mataa. gharama itausisha,

-Nauli ya kwenda na kurudi
- Kiingilio
- Hotel
- Gharama za Muongozaji
- Na breakfast

Kwa watakao penda kuungana nasi tuwasiliane; 0763 553 888 au Barua pepe: safaripamoja@gmail.com.

Kwa safari za mbuga mbalimbali za nje na ndani ya tanzania tembelea page yetu ya facebook: safaripamojatz
 
Hi all,

Bado tuna nafasi chache kwenye bus letu kwa safari ya kuelekea hifadhi ya Taifa ya Udzungwa, Safari ni ya kuondoka Jumamosi na kurudi Jumapili, safari itaanzia Ubungo Mataa. gharama itausisha,
- Nauli ya kwenda na kurudi
- Kiingilio
- Hotel
- Gharama za Muongozaji
- Na breakfast

Kwa watakao penda kuungana nasi Tuwasiliane; 0763 553 888 au Barua pepe: safaripamoja@gmail.com

Kwa safari zingine za mbuga tofauti tembelea page yetu ya Facebook Id: safaripamojatz
Kwa sababu umeamua kutoa habari hii nafikiri ingekuwa vizuri ukaweka gharama zote wazi unaficha nini mpaka watu wapige simu au kuingia inbox/
 
Hi all,

Bado tuna nafasi chache kwenye bus letu kwa safari ya kuelekea hifadhi ya Taifa ya Udzungwa, Safari ni ya kuondoka Jumamosi na kurudi Jumapili, safari itaanzia Ubungo Mataa. gharama itausisha,
- Nauli ya kwenda na kurudi
- Kiingilio
- Hotel
- Gharama za Muongozaji
- Na breakfast

Kwa watakao penda kuungana nasi Tuwasiliane; 0763 553 888 au Barua pepe: safaripamoja@gmail.com

Kwa safari zingine za mbuga tofauti tembelea page yetu ya Facebook Id: safaripamojatz

Weka gharama hadharani bro
 
Weka gharama hadharani bro
Wahi nafasi zimebaki chache kwa sasa. Hatutangazi bei sababu sio kila mmoja wetu anayetaka kwenda ni mtanzania na bei za maradhi na kiingilio kwa wageni ni tofauti. Wengi wanaoitikia ni watu wa kutoka nje waishio tanzania.Asante
 
Wahi nafasi zimebaki chache kwa sasa. Hatutangazi bei sababu sio kila mmoja wetu anayetaka kwenda ni mtanzania na bei za maradhi na kiingilio kwa wageni ni tofauti. Wengi wanaoitikia ni watu wa kutoka nje waishio tanzania.Asante[/ Sawa weka bei ya mzawa na mgeni mbona watanzania tunakuwa waoga? unaficha nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom