Twende Udzungwa Mountains National Parks

Twende Udzungwa Mountains National Parks

Wahi nafasi zimebaki chache kwa sasa. Hatutangazi bei sababu sio kila mmoja wetu anayetaka kwenda ni mtanzania na bei za maradhi na kiingilio kwa wageni ni tofauti. Wengi wanaoitikia ni watu wa kutoka nje waishio tanzania.Asante
Sawa weka bei ya mzawa na mgeni mbona watanzania tunakuwa waoga? unaficha nini?
 
Ukiona hivyo bei itakuwa kubwa ndio maana hataki kuweka hapa... Taja bei kwa mzawa ni pesa ngapi bro.
 
Gharama ni ndogo sana. Kwa 100,000/- tu unakwenda na kurudi, kutembea mbugani, lodge na breakfast.
 
Wahi nafasi zimebaki chache kwa sasa. Hatutangazi bei sababu sio kila mmoja wetu anayetaka kwenda ni mtanzania na bei za maradhi na kiingilio kwa wageni ni tofauti. Wengi wanaoitikia ni watu wa kutoka nje waishio tanzania.Asante
Neno maradhi lina maana nyingine sio hiyo unayotaka kumaanisha wewe,JF inaruhusu pia kuandika kiingereza au lugha nyingine endapo hujui Kiswahili.

#Ni ushauri tu!
 
Neno maradhi lina maana nyingine sio hiyo unayotaka kumaanisha wewe,JF inaruhusu pia kuandika kiingereza au lugha nyingine endapo hujui Kishwahili.

#Ni ushauri tu!
Kichwa yako haiwezi kuwa sawa kama hujaelewa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom