Kaka umesema upo CCM tangu 2000. Hebu tueleze uchaguzi wa mwaka 2010 CCM ilitoa form ngapi za uraisi? Mwaka 2020 zilizalishwa form ngapi? Mbona hukuachia ngazi?.
Lakini umesema mchakato wa katiba mpya "wahuni'' walivuruga maoni ya wananchi, wewe na walipanga pia kuhujumu uchaguzi mkuu, wewe na wenzio mukaamua kwenda kupambana dhidi ya wahuni, na kweli mukashinda.
Lakini cha kushangaza ninyi waungwana muliposhinda mukasema katiba mpya sio agenda yenu. Sasa wahuni sio nyie kweli?
Polepole mbona unaongea tofauti na dhamira iliyopo moyoni kwako?
Muda utaongea!
Lakini umesema mchakato wa katiba mpya "wahuni'' walivuruga maoni ya wananchi, wewe na walipanga pia kuhujumu uchaguzi mkuu, wewe na wenzio mukaamua kwenda kupambana dhidi ya wahuni, na kweli mukashinda.
Lakini cha kushangaza ninyi waungwana muliposhinda mukasema katiba mpya sio agenda yenu. Sasa wahuni sio nyie kweli?
Polepole mbona unaongea tofauti na dhamira iliyopo moyoni kwako?
Muda utaongea!