Kwa mabadiliko ya kitaasisi uliyoyasimamia kwa kipindi kifupi kwenye ofisi yako hadi sasa, sisi tuliokuwa na shauku hiyo tunakupongeza. Endelea kufanya kazi kwa utalaam na weledi wako katika discourse yako ya kusaidia usimamizi thabiti wa rasilimali za walipa kodi wetu.
Tunakushukuru sana pia kwa uhamisho wa hivi karibuni wa waliokuwa wapinga mabadiliko katika ofisi yako imara. Watumishi wajue kuwa utumishi wa umma ni jambo ambalo linasimamiwa na serikali na siyo watu binafsi. Endelea kuvunja mifumo mibovu iliyojengeka katika taasisi zetu.
Prof Assad, fanya kazi bwana watanzania wameona mafanikio yako tayari hata kama wapo wavivu wachache wasiopenda mabadiliko na kasi kubwa ya utendaji.
Tunakushukuru sana pia kwa uhamisho wa hivi karibuni wa waliokuwa wapinga mabadiliko katika ofisi yako imara. Watumishi wajue kuwa utumishi wa umma ni jambo ambalo linasimamiwa na serikali na siyo watu binafsi. Endelea kuvunja mifumo mibovu iliyojengeka katika taasisi zetu.
Prof Assad, fanya kazi bwana watanzania wameona mafanikio yako tayari hata kama wapo wavivu wachache wasiopenda mabadiliko na kasi kubwa ya utendaji.