themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 1,065
- 3,843
Tokea nimeinunua 32 inch naona ipo vizuri sana, kitu kipo clear haileti shida yoyote
We unayoTakataka
KwakoTakataka
Mkuu vipi Samsung vs Lg?nishawai kumiliki star x.. ila kwa picture quality haifikii sony bravia wala sumsung
Kwenye Tvs Star X sio kitu. Ni kama katika pikipiki wenzio wanataja Honda, Yamaha, Bmw ww unataja Toyo. Hivi utajiona mzima kweli???Kwako
Naaam vp kuhusiana na STARTIME tv uboraKwenye Tvs Star X sio kitu. Ni kama katika pikipiki wenzio wanataja Honda, Yamaha, Bmw ww unataja Toyo. Hivi utajiona mzima kweli???
Tv nzuri ni zile zinazotengenezwa na makampuni makubwa ya Electronics Eg. Lg, Sony, Samsung, Philips, Panasonic, Nk.
Pia TV zina technology hasa upande wa resolution, Display Technology, Input and Output Medias.
Sasa iyo Star X hata Optical port haina. Wala HDMI Out haina. Sasa kama unataka kukonect na home thieter unafanyaje???
Kwa mtu ambae hajui technology ataona poa tu ilimradi inaonesha bora liende
Nani kasemaNadhani jamaa yuko kazini anapiga promo.